From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
whereon they are at variance.
ambayo kwayo wanakhitalifiana.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
surely you speak at variance,
hakika nyinyi bila ya shaka mmo katika kauli inayo khitalifiana.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
mankind were only one nation, then they fell into variance.
wala watu hawakuwa ila umma mmoja tu. kisha wakakhitalifiana.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
most surely you are at variance with each other in what you say,
hakika nyinyi bila ya shaka mmo katika kauli inayo khitalifiana.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
and whatever you are at variance on, the judgment thereof belongs to god.
na mkikhitalifiana katika jambo lolote, basi hukumu yake iko kwa mwenyezi mungu.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
on the day of resurrection, he will clarify to you everything on which you were at variance.
na bila ya shaka atakubainishieni siku ya kiyama mliyo kuwa mkikhitalifiana.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
god will judge between you on the day of judgement in what you are at variance."
mwenyezi mungu atahukumu baina yenu siku ya kiyama katika hayo mnayo khitalifiana.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
then allah guided those who believed concerning that which they were at variance in the truth, by his permission.
ndipo mwenyezi mungu kwa idhini yake akawaongoa walio amini kwendea haki katika mambo waliyo khitalifiana.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
indeed this qur'an explains to the children of israel much of what they are at variance.
hakika qur'ani hii inawasimulia wana wa israili mengi wanayo khitalifiana nayo.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
god shall judge between you on the day of resurrection touching that whereon you were at variance.'
mwenyezi mungu atahukumu baina yenu siku ya kiyama katika hayo mnayo khitalifiana.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
be not as those who scattered and fell into variance after the clear signs came to them; those there awaits a mighty chastisement,
wala msiwe kama wale walio farikiana na kukhitalifiana baada ya kuwafikia hoja zilizo wazi. na hao ndio watakao kuwa na adhabu kubwa.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
he was good to me when he brought me forth from the prison, and again when he brought you out of the desert, after that satan set at variance me and my brethren.
na mwenyezi mungu ameijaalia iwe kweli. na mwenyezi mungu amenifanyia wema kunitoa gerezani, na kukuleteni kutoka jangwani baada ya shet'ani kuchochea baina yangu na ndugu zangu.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
and we have not sent down upon thee the book except that thou mayest make clear to them that whereon they were at variance, and as a guidance and as a mercy to a people who believe.
na hatukukuteremshia kitabu isipo kuwa uwabainishie yale ambayo wanakhitalifiana, na kiwe uwongofu na rehema kwa watu wanao amini.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
so be you forward in good works; unto god shall you return, all together; and he will tell you of that whereon you were at variance.
basi shindaneni kwa mambo ya kheri. kwa mwenyezi mungu ndio marejeo yenu nyote, na atakuja kuwaambieni yale mliyo kuwa mkikhitalifiana.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
allah puts forth a parable a man belonging to many partners at variance with each other, and a man belonging entirely to one master: are those two equal in comparison?
mwenyezi mungu amepiga mfano wa mtu mwenye mabwana washirika wanao gombana, na wa mtu mwengine aliye khusika na bwana mmoja tu. je!
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
and when jesus came with the clear signs he said, 'i have come to you with wisdom, and that i may make clear to you some of that whereon you are at variance; so fear you god and obey you me.
na alipo kuja isa na dalili zilizo wazi, alisema: nimekujieni na hikima, na ili nikuelezeni baadhi ya yale mliyo khitalifiana. basi mcheni mwenyezi mungu, na mnit'ii mimi.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
say: 'o god, thou originator of the heavens and the earth who knowest the unseen and the visible, thou shalt judge between thy servants touching that whereon they are at variance.'
mjuzi wa yasiyo onekana na yanayo onekana! wewe utahukumu baina ya waja wako katika waliyo kuwa wakikhitalifiana.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
and had god willed, those who came after him would not have fought one against the other after the clear signs had come to them; but they fell into variance, and some of them believed, and some disbelieved; and had god willed they would not have fought one against the other; but god does whatsoever he desires.
basi wapo kati yao walio amini, na wengine kati yao walio kufuru. na lau kuwa mwenyezi mungu alipenda wasingeli pigana.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality: