Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
sest mina olen apostlite seast k
maana mimi ni mdogo kabisa miongoni mwa mitume na wala sistahili kuitwa mtume, kwa sababu nililidhulumu kanisa la mungu.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
ja pistsid oma käed apostlite külge ning panid nad üldisesse vanglasse.
basi, wakawatia nguvuni, wakawafunga ndani ya gereza kuu.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
aga nemad jäid alati apostlite õpetusse ja osadusse ja leivamurdmisse ja palvetesse.
hawa wote waliendelea kujifunza kutoka kwa mitume, kuishi pamoja kidugu, kumega mkate na kusali.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
aga kui siimon nägi, et apostlite käte pealepanemise läbi anti püha vaimu, pakkus ta neile raha
hapo simoni aling'amua kwamba kwa kuwekewa mikono ya mitume waumini walipewa roho mtakatifu. hivyo aliwapa petro na yohane fedha akisema,
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
aga igale hingele tuli kartus; ja palju imesid ja tunnustähti sündis apostlite läbi.
miujiza na maajabu mengi yalifanyika kwa njia ya mitume hata kila mtu akajawa na hofu.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
ja mees toimetas oma naise teades muist hinda kõrvale ja muist ta tõi ning pani apostlite jalgade ette.
lakini, mkewe akiwa anajua, anania akajiwekea sehemu ya fedha alizopata na ile sehemu nyingine akawakabidhi mitume.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
aga palju tunnustähti ja imesid sündis rahva seas apostlite käte läbi. ja nad olid kõik koos ühel meelel saalomoni võlvitud hoones.
mitume walifanya miujiza na maajabu mengi kati ya watu. waumini walikuwa wakikutana pamoja katika ukumbi wa solomoni.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
aga saulusel oli hea meel stefanose surmast. sel ajal algas suur jeruusalemma koguduse tagakiusamine. ja kõik peale apostlite hajutati juuda- ja samaariamaale.
saulo naye alikiona kitendo hicho cha kumwua stefano kuwa sawa. siku hiyo kanisa la yerusalemu lilianza kuteswa vibaya. waumini wote, isipokuwa tu wale mitume, walilazimika kutawanyika katika sehemu za mashambani za yudea na samaria.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
kuid barnabas võttis ta vastu ja viis ta apostlite juurde ja rääkis neile, kuidas tema teel olles oli issandat näinud ning temaga kõnelnud ja kuidas ta damaskuses oli avalikult kuulutanud evangeeliumi jeesuse nimel.
hapo, barnaba alikuja akamchukua saulo, akampeleka kwa mitume na kuwaeleza jinsi saulo alivyomwona bwana njiani na jinsi bwana alivyoongea naye. aliwaambia pia jinsi saulo alivyokuwa amehubiri bila uoga kule damasko.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
kui sellest tõusis lahkmeel ja paulusel ja barnabasel ei olnud nendega mitte pisut vaidlemist, siis tehti otsuseks, et paulus ja barnabas ning mõned muud nende seast lähevad jeruusalemma apostlite ja vanemate juurde selle tüliküsimuse pärast.
jambo hili lilisababisha ubishi mkubwa, na baada ya paulo na barnaba kujadiliana nao, ikaamuliwa paulo na barnaba pamoja na waumini kadhaa wa lile kanisa la antiokia waende yerusalemu kuwaona wale mitume na wazee kuhusu jambo hilo.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality: