From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
was kann eine moralisch bereits verarmte gesellschaft von einem bischof oder priester lernen, der in seiner gemeinde wahllos kinder zeugt?
ni somo gani ambalo jamii iliyopotoka kimaadili inaweza kujifunza kutoka kwa askofu au padri ambaye anazaa watoto kiholela katika jamii yake?
denn ein bischof soll untadelig sein als ein haushalter gottes, nicht eigensinnig, nicht zornig, nicht ein weinsäufer, nicht raufen, nicht unehrliche hantierung treiben;
maana kwa vile kiongozi wa kanisa ni mkurugenzi wa kazi ya mungu, anapaswa kuwa mtu asiye na hatia. asiwe mwenye majivuno, mwepesi wa hasira, mlevi, mkorofi au mchoyo.
die zahlreichen geschichten über sexuelle freizügigkeit, extravaganz und einstellung zum flirten einiger unserer priester, einige bischöfe eingeschlossen, einige davon erzählen sogar vom kindergebähren, andere von unzucht mit studenten, anderer männer ehefrauen, gemeindemitgliedern etc. müssen angesprochen werden…
habari nyingi zinazohusu uzinzi, ufujaji na tabia za utongozaji kwa baadhi ya mapadri wetu wakiwamo maaskofu, ambao wengine wanafika mbali hata kuzaa watoto, wengine wanafanya ngono na wanafunzi wao, wake za watu, wanaparokia n.k, ni lazima viongelewe...