From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
denn es sind geister der teufel, die tun zeichen und gehen aus zu den königen auf dem ganzen kreis der welt, sie zu versammeln in den streit auf jenen tag gottes, des allmächtigen.
hawa ndio roho za pepo wafanyao miujiza. ndio wanaokwenda kwa wafalme wa ulimwengu wote na kuwakusanya pamoja kwa ajili ya vita kuu siku ile ya mungu mwenye uwezo.
und einer unter ihnen mit namen agabus stand auf und deutete durch den geist eine große teuerung, die da kommen sollte über den ganzen kreis der erde; welche geschah unter dem kaiser klaudius.
basi, mmoja wao aitwaye agabo alisimama, na kwa uwezo wa roho akabashiri kwamba kutakuwa na njaa kubwa katika nchi yote (njaa hiyo ilitokea wakati klaudio alipokuwa akitawala).
das twitterverbot, das berichten nach circa 10 millionen nutzer in der türkei betrifft, erfolgte, als dokumente veröffentlicht wurden, die vermeintliche korruption im engsten kreis rund um den premierminister recep tayyip erdogan aufdecken.
kufungiwa kwa mtandao wa twita, kulikoripotiwa kuathiri watu zaidi ya milioni 10 wanaotumia mtandao huo nchini uturuki, hali iliyofuatia kuchapishwa kwa nyaraka zinazosemekana 'kufunua' ufisadi wa maswahiba wa karibu wa waziri mkuu recep tayyip erdogan.
darum daß er einen tag gesetzt hat, an welchem er richten will den kreis des erdbodens mit gerechtigkeit durch einen mann, in welchem er's beschlossen hat und jedermann vorhält den glauben, nachdem er ihn hat von den toten auferweckt.
kwa maana amekwisha weka siku ambayo atauhukumu ulimwengu kwa haki kwa njia ya mtu mmoja aliyemteua. mungu amewathibitishia wote jambo hili kwa kumfufua mtu huyo kutoka wafu!"
was allah seinem gesandten von den bewohnern der städte als kampflose beute zugeteilt hat, das gehört allah, seinem gesandten und den verwandten, den waisen, den armen und dem sohn des weges. dies, damit es nicht nur im kreis der reichen von euch bleibt.
mali aliyo leta mwenyezi mungu kwa mtume wake kutoka kwa watu wa hivi vijiji ni kwa ajili ya mwenyezi mungu, na kwa ajili ya mtume, na jamaa, na mayatima, na masikini, na msafiri, ili yasiwe yakizunguka baina ya matajiri tu miongoni mwenu.