From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
annuncia a coloro che accumulano l'oro e l'argento e non spendono per la causa di allah un doloroso castigo
na wanao kusanya dhahabu na fedha, wala hawazitumii katika njia ya mwenyezi mungu, wabashirie khabari ya adhabu iliyo chungu.
allora giuda, il traditore, vedendo che gesù era stato condannato, si pentì e riportò le trenta monete d'argento ai sommi sacerdoti e agli anzian
hapo, yuda ambaye ndiye aliyemsaliti, alipoona kwamba wamekwisha mhukumu yesu, akajuta, akawarudishia makuhani wakuu zile sarafu thelathini za fedha.
allora si adempì quanto era stato detto dal profeta geremia: e presero trenta denari d'argento, il prezzo del venduto, che i figli di israele avevano mercanteggiato
hivyo maneno ya nabii yeremia yakatimia: "walizichukua sarafu thelathini za fedha, thamani ya yule ambaye watu wa israeli walipanga bei,
le vostre vesti sono state divorate dalle tarme; il vostro oro e il vostro argento sono consumati dalla ruggine, la loro ruggine si leverà a testimonianza contro di voi e divorerà le vostre carni come un fuoco. avete accumulato tesori per gli ultimi giorni
dhahabu yenu na fedha vimeota kutu, na kutu hiyo itakuwa ushahidi dhidi yenu, nayo itakula miili yenu kama vile moto. ninyi mmejilundikia mali katika siku hizi za mwisho!
in una casa grande però non vi sono soltanto vasi d'oro e d'argento, ma anche di legno e di coccio; alcuni sono destinati ad usi nobili, altri per usi più spregevoli
katika nyumba kubwa kuna mabakuli na vyombo vya kila namna: vingine ni vya fedha na dhahabu, vingine vya mbao na udongo, vingine ni vya matumizi ya pekee na vingine kwa ajili ya matumizi ya kawaida.
abbiamo abbellito, agli [occhi degli] uomini, le cose che essi desiderano: le donne, i figli, i tesori accumulati d'oro e d'argento, i cavalli marchiati, il bestiame e i campi coltivati; tutto ciò è solo godimento temporaneo della vita terrena, mentre verso allah è il miglior ritorno.
watu wamepambiwa kupenda matamanio ya wanawake, na wana, na mirundi ya dhahabu na fedha, na farasi asili, na mifugo, na mashamba. hayo ni starehe ya maisha ya duniani; na kwa mwenyezi mungu ndio kwenye marejeo mema.