From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
chiunque vi darà da bere un bicchiere d'acqua nel mio nome perché siete di cristo, vi dico in verità che non perderà la sua ricompensa
mtu yeyote atakeyewapeni kikombe cha maji ya kunywa kwa sababu ninyi ni watu wake kristo, hakika hatakosa kupata tuzo lake.
allora i giusti gli risponderanno: signore, quando mai ti abbiamo veduto affamato e ti abbiamo dato da mangiare, assetato e ti abbiamo dato da bere
hapo, hao watu wema watamjibu mfalme bwana, ni lini tulikuona mwenye njaa nasi tukakupa chakula, au ukiwa na kiu nasi tukakunywesha maji?
così, dunque, perseguiamo le cose che contribuiscono alla pace e le cose che sono reciprocamente edificanti. smettete di abbattere l’opera di dio per amore del cibo. certo, tutte le cose sono pure, ma è dannoso per l’uomo che mangia dando occasione d’inciampo. È bene non mangiare carne né bere vino né fare alcuna cosa nella quale il tuo fratello inciampa. la fede che hai, abbila in armonia con te stesso dinanzi a dio. felice l’uomo che non giudica se stesso mediante ciò che approva. ma se ha dubbi, è già condannato qualora mangi, perché non [mangia] con fede. in realtà, tutto ciò che non è dalla fede è peccato.
hivyo, basi, na tufuatilie mambo yanayofanya kuwe na amani na mambo ambayo ni ya kujengana. acheni kuibomoa kazi ya mungu kwa ajili ya chakula tu. ni kweli, vitu vyote ni safi, lakini ni jambo baya kwa mtu ambaye hula kukiwa na hali ya kukwaza. ni vema kutokula nyama au kunywa divai au kufanya jambo lolote ambalo ndugu yako anakwazika juu yake. imani uliyo nayo, uwe nayo kupatana na wewe mwenyewe machoni pa mungu. mwenye furaha ni mtu asiyejitia mwenyewe hukumuni kwa yale anayokubali. lakini ikiwa ana shaka, yeye akila tayari atakuwa amehukumiwa kuwa mwenye hatia, kwa sababu hali kwa imani. kwa kweli, kila kitu ambacho hakitokani na imani ni dhambi.