From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
pharisaei autem audientes quod silentium inposuisset sadducaeis convenerunt in unu
mafarisayo waliposikia kwamba yesu alikuwa amewanyamazisha masadukayo, wakakutana pamoja.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
altera autem die quae est post parasceven convenerunt principes sacerdotum et pharisaei ad pilatu
kesho yake, yaani siku iliyofuata ile ya maandalio, makuhani wakuu na mafarisayo walimwendea pilato,
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
adstiterunt reges terrae et principes convenerunt in unum adversus dominum et adversus christum eiu
wafalme wa dunia walijiweka tayari, na watawala walikutana pamoja, ili kumwasi bwana na kristo wake.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
et auditum est quod in domo esset et convenerunt multi ita ut non caperet neque ad ianuam et loquebatur eis verbu
basi, wakaja watu wengi sana hata nafasi yoyote ikakosekana mlangoni. yesu alikuwa akiwahubiria ujumbe wake,
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
et factum est in una dierum docente illo populum in templo et evangelizante convenerunt principes sacerdotum et scribae cum senioribu
siku moja, yesu alipokuwa akiwafundisha watu hekaluni na kuwahubiria juu ya habari njema, makuhani wakuu na walimu wa sheria pamoja na wazee walifika,
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
convenerunt enim vere in civitate ista adversus sanctum puerum tuum iesum quem unxisti herodes et pontius pilatus cum gentibus et populis israhe
"maana, kwa hakika, ndivyo herode, pontio pilato, watu wa israeli na watu wa mataifa walivyokutanika papa hapa mjini, kumpinga yesu mtumishi wako mtakatifu ambaye umemtia mafuta.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
et ut factus est dies convenerunt seniores plebis et principes sacerdotum et scribae et duxerunt illum in concilium suum dicentes si tu es christus dic nobi
kulipokucha, kikao cha wazee wa watu kilifanyika, ambacho kilihudhuriwa na makuhani wakuu na walimu wa sheria. yesu akaletwa mbele ya baraza hilo.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality: