Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
quamquam iesus non baptizaret sed discipuli eiu
(lakini ukweli ni kwamba yesu hakuwa anabatiza ila wanafunzi wake.)
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
et nuntiaverunt iohanni discipuli eius de omnibus hi
wanafunzi wa yohane walimpa habari yohane juu ya mambo hayo yote. naye yohane, baada ya kuwaita wawili kati ya wanafunzi wake,
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
discipuli quoque replebantur gaudio et spiritu sanct
lakini hao wafuasi walikuwa wamejaa furaha na roho mtakatifu.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
aspiciebant ergo ad invicem discipuli haesitantes de quo dicere
wanafunzi wakatazama wasiweze kabisa kujua anasema nani.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
et audientes discipuli ceciderunt in faciem suam et timuerunt vald
wanafunzi waliposikia hivyo wakaanguka kifudifudi, wakaogopa sana.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
et accedentes discipuli dixerunt ei quare in parabolis loqueris ei
wanafunzi wake wakamwendea, wakamwuliza, "kwa nini unasema na watu kwa mifano?"
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
dicebant ergo discipuli ad invicem numquid aliquis adtulit ei manducar
wanafunzi wake wakaulizana, "je, kuna mtu aliyemletea chakula?"
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
dicunt ei discipuli eius ecce nunc palam loqueris et proverbium nullum dici
basi, wanafunzi wake wakamwambia, "ahaa! sasa unasema waziwazi kabisa bila kutumia mafumbo.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
et offerebant illi parvulos ut tangeret illos discipuli autem comminabantur offerentibu
watu walimletea yesu watoto wadogo ili awaguse, lakini wanafunzi wakawakemea.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
accipientes autem discipuli eius nocte per murum dimiserunt eum submittentes in sport
lakini wakati wa usiku wanafunzi wake walimchukua, wakamteremsha chini ndani ya kapu kubwa kwa kupitia nafasi iliyokuwako ukutani.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
dicentes dicite quia discipuli eius nocte venerunt et furati sunt eum nobis dormientibu
wakisema, "ninyi mtasema hivi: wanafunzi wake walikuja usiku, wakamwiba sisi tukiwa tumelala.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
adferebant autem ad illum et infantes ut eos tangeret quod cum viderent discipuli increpabant illo
watu walimletea yesu watoto wadogo ili awawekee mikono yake. wanafunzi walipowaona, wakawazuia kwa maneno makali.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
et cum introisset in domum discipuli eius secreto interrogabant eum quare nos non potuimus eicere eu
lakini yesu akamshika mkono, akamwinua, naye akasimama.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
ait illi petrus etiam si oportuerit me mori tecum non te negabo similiter et omnes discipuli dixerun
petro akamwambia, "hata kama ni lazima nife pamoja nawe, sitakukana kamwe." wale wanafunzi wengine wote wakasema vivyo hivyo.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
cum ergo resurrexisset a mortuis recordati sunt discipuli eius quia hoc dicebat et crediderunt scripturae et sermoni quem dixit iesu
basi, alipofufuliwa kutoka wafu, wanafunzi wake walikumbuka kwamba alikuwa amesema hayo, wakaamini maandiko matakatifu na yale maneno aliyokuwa akisema yesu.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
alii autem discipuli navigio venerunt non enim longe erant a terra sed quasi a cubitis ducentis trahentes rete pisciu
lakini wale wanafunzi wengine walikuja pwani kwa mashua huku wanauvuta wavu uliojaa samaki; hawakuwa mbali na nchi kavu, ila walikuwa yapata mita mia moja kutoka ukingoni.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
at illi dixerunt ad eum quare discipuli iohannis ieiunant frequenter et obsecrationes faciunt similiter et pharisaeorum tui autem edunt et bibun
watu wengine wakamwambia yesu, "wafuasi wa yohane mbatizaji hufunga mara nyingi na kusali; hata wafuasi wa mafarisayo hufanya vivyo hivyo. lakini wafuasi wako hula na kunywa."
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
et erant discipuli iohannis et pharisaei ieiunantes et veniunt et dicunt illi cur discipuli iohannis et pharisaeorum ieiunant tui autem discipuli non ieiunan
wakati mmoja wanafunzi wa yohane na wanafunzi wa mafarisayo walikuwa wanafunga. basi, watu wakaja, wakamwuliza yesu, "kwa nini wanafunzi wa yohane na wa mafarisayo wanafunga, lakini wanafunzi wako hawafungi?"
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
et cum iussisset turbam discumbere supra faenum acceptis quinque panibus et duobus piscibus aspiciens in caelum benedixit et fregit et dedit discipulis panes discipuli autem turbi
akawaamuru watu waketi katika nyasi. kisha akaitwaa ile mikate mitano na wale samaki wawili, akatazama juu mbinguni, akamshukuru mungu. halafu akaimega hiyo mikate, akawapa wanafunzi wake, nao wakawapa watu.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality: