Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
in quo habemus redemptionem remissionem peccatoru
ambaye kwa njia yake tunakombolewa, yaani dhambi zetu zinaondolewa.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
ad dandam scientiam salutis plebi eius in remissionem peccatorum eoru
kuwatangazia watu kwamba wataokolewa kwa kuondolewa dhambi zao.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
fuit iohannes in deserto baptizans et praedicans baptismum paenitentiae in remissionem peccatoru
yohane mbatizaji alitokea jangwani, akahubiri kwamba ni lazima watu watubu na kubatizwa ili mungu awasamehe dhambi zao.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
et venit in omnem regionem iordanis praedicans baptismum paenitentiae in remissionem peccatoru
basi, yohane akaenda katika sehemu zote zilizopakana na mto yordani, akihubiri watu watubu na kubatizwa ili mungu awaondolee dhambi.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
et praedicari in nomine eius paenitentiam et remissionem peccatorum in omnes gentes incipientibus ab hierosolym
na kwamba ni lazima, kwa jina lake, mataifa yote kuanzia na yerusalemu yahubiriwe juu ya kutubu na kusamehewa dhambi.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
huic omnes prophetae testimonium perhibent remissionem peccatorum accipere per nomen eius omnes qui credunt in eu
manabii wote waliongea juu yake kwamba kila mtu atakayemwamini atasamehewa dhambi zake zote kwa jina lake."
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
praedicare captivis remissionem et caecis visum dimittere confractos in remissionem praedicare annum domini acceptum et diem retributioni
na kutangaza mwaka wa neema ya bwana."
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
aperire oculos eorum ut convertantur a tenebris ad lucem et de potestate satanae ad deum ut accipiant remissionem peccatorum et sortem inter sanctos per fidem quae est in m
utayafumbua macho yao na kuwawezesha watoke gizani na kuingia katika mwanga; watoke katika utawala wa shetani, wamgeukie mungu; ili kwa kuamini, wapate kusamehewa dhambi na kuchukua nafasi yao kati ya wale ambao wamepata kuwa watu wa mungu.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality: