From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
quoniam et iudaei signa petunt et graeci sapientiam quaerun
wayahudi wanataka ishara, na wagiriki wanatafuta hekima;
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
scriptum est enim perdam sapientiam sapientium et prudentiam prudentium reprobab
maana maandiko matakatifu yasema: "nitaiharibu hekima yao wenye hekima, na elimu ya wataalamu nitaitupilia mbali."
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
ego enim dabo vobis os et sapientiam cui non poterunt resistere et contradicere omnes adversarii vestr
kwa sababu mimi mwenyewe nitawapeni ufasaha wa maneno na hekima, hivyo kwamba zenu hawataweza kustahimili wala kupinga.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
nam quia in dei sapientia non cognovit mundus per sapientiam deum placuit deo per stultitiam praedicationis salvos facere credente
maana, kadiri ya hekima ya mungu, watu hawawezi kumjua mungu kwa njia ya hekima yao wenyewe. badala yake, mungu amependa kuwaokoa wale wanaoamini kwa njia ya kile ambacho wenye hekima wanakiona kuwa ni upumbavu, yaani ujumbe tunaohubiri.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
et domini nostri longanimitatem salutem arbitramini sicut et carissimus frater noster paulus secundum datam sibi sapientiam scripsit vobi
mnapaswa kuuona uvumilivu wa bwana kuwa ni nafasi anayowapeni mpate kuokolewa, kama paulo ndugu yetu mpenzi alivyowaandikia akitumia hekima aliyopewa na mungu.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
dicentium voce magna dignus est agnus qui occisus est accipere virtutem et divinitatem et sapientiam et fortitudinem et honorem et gloriam et benedictione
wakasema kwa sauti kuu: "mwanakondoo aliyechinjwa anastahili kupokea uwezo, utajiri, hekima, nguvu, utukufu na sifa."
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
regina austri surget in iudicio cum generatione ista et condemnabit eam quia venit a finibus terrae audire sapientiam salomonis et ecce plus quam salomon hi
malkia wa kusini atatokea wakati kizazi hiki kitakapohukumiwa, naye atakihukumu kwamba kina hatia. maana yeye alisafiri kutoka mbali akaja kusikiliza maneno ya hekima ya solomoni, na kumbe hapa kuna kikuu kuliko solomoni.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
regina austri surget in iudicio cum viris generationis huius et condemnabit illos quia venit a finibus terrae audire sapientiam salomonis et ecce plus salomone hi
malkia wa kusini atatokea wakati kizazi hiki kitakapohukumiwa, naye atashuhudia kwamba kina hatia. yeye alisafiri kutoka mbali, akaja kusikiliza maneno ya hekima ya solomoni; kumbe hapa pana mkuu zaidi kuliko solomoni.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
et eripuit eum ex omnibus tribulationibus eius et dedit ei gratiam et sapientiam in conspectu pharaonis regis aegypti et constituit eum praepositum super aegyptum et super omnem domum sua
akamwokoa katika taabu zake zote. mungu alimjalia fadhili na hekima mbele ya farao, mfalme wa misri, hata farao akamweka awe mkuu wa ile nchi na nyumba ya kifalme.
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality: