From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
a farisej se zaèudi kad vide da se najpre ne umi pre obeda.
huyo mfarisayo alistaajabu kuona kwamba alikula chakula bila kunawa.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
dva èoveka udjoe u crkvu da se mole bogu, jedan farisej i drugi carinik.
"watu wawili walipanda kwenda hekaluni kusali: mmoja mfarisayo, na mwingine mtoza ushuru.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
a kad govorae, moljae ga nekakav farisej da obeduje u njega. a on uavi sede za trpezu.
yesu alipokuwa akiongea, mfarisayo mmoja alimkaribisha chakula nyumbani kwake, naye akaenda, akaketi kula chakula.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
ali onda ustade u skuptini jedan farisej po imenu gamaliilo, zakonik, potovan od svega naroda, i zapovedi da apostoli malo izidju napolje,
lakini mfarisayo mmoja aitwaye gamalieli ambaye alikuwa mwalimu wa sheria na aliyeheshimika sana mbele ya watu wote, alisimama mbele ya lile baraza, akataka wale mitume watolewe nje kwa muda mfupi.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
a kad vide farisej koji ga je dozvao, reèe u sebi govoreæi: da je on prorok, znao bi ko i kakva ga se ena dotièe: jer je grenica.
yule mfarisayo aliyemwalika yesu alipoona hayo, akawaza moyoni mwake, "kama mtu huyu angekuwa kweli nabii angejua huyu mwanamke ni wa namna gani, ya kwamba ni mwenye dhambi."
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
farisej stade i moljae se u sebi ovako: boe! hvalim te to ja nisam kao ostali ljudi: hajduci, nepravednici, preljuboèinci ili kao ovaj carinik.
huyo mfarisayo akasimama, akasali kimoyomoyo: ee mungu, nakushukuru kwa vile mimi si kama watu wengine: walafi, wadanganyifu au wazinzi. nakushukuru kwamba mimi si kama huyu mtoza ushuru.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
a znajuæi pavle da je jedan deo sadukeja a drugi fariseja povika na skuptini: ljudi braæo! ja sam farisej i sin farisejev: za nadu i za vaskrsenje iz mrtvih doveden sam na sud.
wakati huo paulo alikwisha tambua kwamba sehemu moja ya wanabaraza wale ilikuwa ni masadukayo na nyingine mafarisayo. basi, alipaaza sauti yake mbele ya baraza: "ndugu zangu, mimi ni mfarisayo, mwana wa mfarisayo. mimi nimeletwa mahakamani kwa kuwa ninatumaini kwamba wafu watafufuka."
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting