Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
yesu alitoka hapo, akaenda katika sunagogi lao.
ከዚያም አልፎ ወደ ምኩራባቸው ገባ።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
yesu alipomaliza kusema mifano hiyo alitoka mahali hapo,
ኢየሱስም እነዚህም ምሳሌዎች ከጨረሰ በኋላ ከዚያ ሄደ።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
mwanamume hakutoka kwa mwanamke, ila mwanamke alitoka kwa mwanamume.
ሴት ከወንድ ናት እንጂ ወንድ ከሴት አይደለምና።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
yesu alitoka hapo akaenda kando ya ziwa galilaya, akapanda mlimani, akaketi.
ኢየሱስም ከዚያ አልፎ ወደ ገሊላ ባሕር አጠገብ መጣ፥ ወደ ተራራም ወጥቶ በዚያ ተቀመጠ።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
siku tatu baada ya kufika mkoani, festo alitoka kaisarea, akaenda yerusalemu.
ፊስጦስም ወደ አውራጃው ገብቶ ከሦስት ቀን በኋላ ከቂሣርያ ወደ ኢየሩሳሌም ወጣ።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
siku hiyohiyo, yesu alitoka katika ile nyumba, akaenda na kuketi kando ya ziwa.
በዚያን ቀን ኢየሱስ ከቤት ወጥቶ በባሕር አጠገብ ተቀመጠ፤
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
kesho yake, kabla ya mapambazuko, yesu alitoka, akaenda mahali pa faragha kusali.
ማለዳም ተነሥቶ ገና ሌሊት ሳለ ወጣ ወደ ምድረ በዳም ሄዶ በዚያ ጸለየ።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
mara tu yesu aliposhuka mashuani, mtu mmoja aliyepagawa na pepo mchafu alitoka makaburini, akakutana naye.
ከታንኳይቱም በወጣ ጊዜ፥ ርኵስ መንፈስ የያዘው ሰው ከመቃብር ወጥቶ ወዲያው ተገናኘው፤
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
yesu alitoka hekaluni, na alipokuwa akienda zake, wanafunzi wake walimwendea, wakamwonyesha majengo ya hekalu.
ኢየሱስም ከመቅደስ ወጥቶ ሄደ፥ ደቀ መዛሙርቱም የመቅደሱን ግንቦች ሊያሳዩት ቀረቡ።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
petro alipokuwa anaingia, kornelio alitoka nje kumlaki, akapiga magoti mbele yake na kuinama chini kabisa.
ጴጥሮስም በገባ ጊዜ ቆርኔሌዎስ ተገናኝቶ ከእግሩ በታች ወደቀና ሰገደለት።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
yesu alipomaliza kusema maneno hayo, alitoka galilaya, akaenda katika mkoa wa yudea, ng'ambo ya mto yordani.
ኢየሱስም ይህን ነገር ከፈጸመ በኋላ፥ ከገሊላ ሄዶ ወደ ይሁዳ አውራጃ ወደ ዮርዳኖስ ማዶ መጣ።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
"ufalme wa mbinguni unafanana na mtu mwenye shamba la mizabibu, ambaye alitoka asubuhi na mapema kuwaajiri wafanyakazi katika shamba lake.
መንግሥተ ሰማያት ለወይኑ አትክልት ሠራተኞችን ሊቀጥር ማልዶ የወጣ ባለቤት ሰውን ትመስላለችና።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
yesu alitoka hapo akaenda mkoani yudea na hata ng'ambo ya mto yordani. umati wa watu ukamwendea tena, naye akawafundisha tena kama ilivyokuwa desturi yake.
ከዚያም ተነሥቶ በዮርዳኖስ ማዶ ወደ ይሁዳ አገር መጣ፥ ደግሞም ብዙ ሰዎች ወደ እርሱ ተሰበሰቡ እንደ ልማዱም ደግሞ ያስተምራቸው ነበር።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
yesu alitoka katika lile sunagogi, akaenda nyumbani kwa simoni. mama mmoja, mkwewe simoni, alikuwa na homa kali; wakamwomba amponye.
በምኵራብም ተነሥቶ ወደ ስምዖን ቤት ገባ። የስምዖንም አማት በብርቱ ንዳድ ታማ ነበር ስለ እርስዋም ለመኑት።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
kwa hiyo, yesu hakutembea tena hadharani kati ya wayahudi, bali alitoka hapo, akaenda mahali karibu na jangwa, katika mji uitwao efraimu. akakaa huko pamoja na wanafunzi wake.
ከዚያ ወዲያም ኢየሱስ በአይሁድ መካከል ተገልጦ አልተመላለሰም፤ ነገር ግን ከዚያ በምድረ በዳ አጠገብ ወዳለች ምድር፥ ኤፍሬም ወደምትባል ከተማ ሄደ፤ በዚያም ከደቀ መዛሙርቱ ጋር ተቀመጠ።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality: