Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
kisha wakampeleka huyo mtu aliyekuwa kipofu kwa mafarisayo.
በፊት ዕውር የነበረውን ሰው ወደ ፈሪሳውያን ወሰዱት።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
mbele yake yesu palikuwa na mtu mmoja aliyekuwa na ugonjwa wa kuvimba mwili.
እነሆም፥ ሆዱ የተነፋ ሰው በፊቱ ነበረ።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
yesu akamwambia huyo mtu aliyekuwa na mkono uliopooza, "njoo hapa katikati."
እጁ የሰለለችውንም ሰው። ተነሥተህ ወደ መካከል ና አለው።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
basi, hapo palikuwa na mtu mmoja aliyekuwa mgonjwa kwa muda wa miaka thelathini na minane.
በዚያም ከሠላሳ ስምንት ዓመት ጀምሮ የታመመ አንድ ሰው ነበረ፤
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
na walisema : hataingia peponi ila aliyekuwa yahudi au mkristo . hayo ni matamanio yao .
« ገነትንም አይሁድን ወይም ክርስቲያኖችን የኾነ ሰው እንጂ ሌላ አይገባትም » አሉ ፡ ፡ ይህቺ ( ከንቱ ) ምኞታቸው ናት ፡ ፡ « እውነተኞች እንደኾናችሁ አስረጃችሁን አምጡ » በላቸው ፡ ፡
Last Update: 2014-07-02
Usage Frequency: 1
Quality:
barnaba akaitwa zeu, na paulo, kwa vile yeye ndiye aliyekuwa anaongea, akaitwa herme.
በርናባስንም ድያ አሉት፤ ጳውሎስንም እርሱ በመናገር ዋና ስለ ነበረ ሄርሜን አሉት።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
ikiwa mnatuuliza leo juu ya kile kitendo chema alichofanyiwa yule mtu aliyekuwa kiwete na jinsi alivyopata kuwa mzima,
እኛ ዛሬ ለድውዩ ሰው ስለ ተደረገው መልካም ሥራ ይህ በምን እንደዳነ ብንመረመር፥
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
mkumbuke yesu kristo aliyefufuliwa kutoka wafu, aliyekuwa wa ukoo wa daudi, kama isemavyo habari njema ninayoihubiri.
በወንጌል እንደምሰብከው፥ ከሙታን የተነሣውን፥ ከዳዊት ዘርም የሆነውን ኢየሱስ ክርስቶስን አስብ፤
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
na mara yule aliyekuwa kipofu akapata kuona, akamfuata yesu akimtukuza mungu. watu wote walipoona hayo, wakamsifu mungu.
በዚያን ጊዜም አየ፥ እግዚአብሔንም እያከበረ ተከተለው። ሕዝቡም ሁሉ አይተው እግዚአብሔርን አመሰገኑ።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
nilipokuwa damasko, mkuu wa mkoa, aliyekuwa chini ya mfalme areta, alikuwa akiulinda mji wa damasko ili apate kunikamata.
በደማስቆ አርስጦስዮስ ከተባለ ንጉሥ በታች የሆነ የሕዝብ ገዥ ሊይዘኝ እየወደደ የደማስቆ ሰዎችን ከተማ ያስጠብቅ ነበር፥
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
filipo na bartholomayo, thoma na mathayo aliyekuwa mtoza ushuru; yakobo mwana wa alfayo, na thadayo;
ፊልጶስም በርተሎሜዎስም፥ ቶማስም ቀራጩ ማቴዎስም፥ የእልፍዮስ ልጅ ያዕቆብም ታዴዎስም የተባለው ልብድዮስ፥
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
mama mmoja aliyekuwa na chupa ya alabasta yenye marashi ya thamani kubwa, alimjia pale mezani alipokuwa amekaa kula chakula, akammiminia hayo marashi kichwani.
አንዲት ሴት ዋጋው እጅግ የበዛ ሽቱ የሞላው የአልባስጥሮስ ብልቃጥ ይዛ ወደ እርሱ ቀረበች በማዕድም ተቀምጦ ሳለ በራሱ ላይ አፈሰሰችው።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
yesu alifika tena huko mjini kana, mkoani galilaya, mahali alipogeuza maji kuwa divai. kulikuwa na ofisa mmoja aliyekuwa na mtoto mgonjwa huko kafarnaumu.
ኢየሱስም ውኃውን የወይን ጠጅ ወዳደረገባት ወደ ገሊላ ቃና ዳግመኛ መጣ። በቅፍርናሆምም ልጁ የታመመበት ከንጉሥ ቤት አንድ ሹም ነበረ።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
aliwapotosha wakazi wa dunia kwa miujiza hiyo aliyojaliwa kutenda mbele ya mnyama wa kwanza. aliwaambia wakazi wa dunia watengeneze sanamu kwa heshima ya yule mnyama aliyekuwa amejeruhiwa kwa upanga lakini akaishi tena.
በአውሬውም ፊት ያደርግ ዘንድ ከተሰጡት ምልክቶች የተነሣ በምድር የሚኖሩትን ያስታል፤ የሰይፍም ቍስል ለነበረውና በሕይወት ለኖረው ለአውሬው ምስልን እንዲያደርጉ በምድር የሚኖሩትን ይናገራል።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
alipokuwa anashuka pwani, mtu mmoja aliyekuwa amepagawa na pepo alimjia kutoka mjini. kwa muda mrefu mtu huyo, hakuwa anavaa nguo, wala hakuwa anaishi nyumbani bali makaburini.
ወደ ምድርም በወጣ ጊዜ አጋንንት ያደሩበት አንድ ሰው ከከተማ ወጥቶ ተገናኘው፥ ከብዙ ዘመንም ጀምሮ ልብስ ሳይለብስ በመቃብር እንጂ በቤት አይኖርም ነበር።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
wakamwuliza tena huyo mtu aliyekuwa kipofu, "maadam yeye amekufungua macho, wasemaje juu yake?" naye akawaambia, "yeye ni nabii!"
በመካከላቸውም መለያየት ሆነ። ከዚህም የተነሣ ዕውሩን። አንተ ዓይኖችህን ስለ ከፈተ ስለ እርሱ ምን ትላለህ? ደግሞ አሉት። እርሱም። ነቢይ ነው አለ።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
kwa imani, abrahamu alimtoa mwanae isaka sadaka wakati mungu alipomjaribu. huyo abrahamu ndiye aliyekuwa amepokea ahadi ya mungu, lakini, hata hivyo, alikubali kumtoa dhabihu mwanae wa pekee,
አብርሃም በተፈተነበት ጊዜ ይስሐቅን በእምነት አቀረበ፥ የተስፋን ቃል የተቀበለው። በይስሐቅ ዘር ይጠራልሃል የተባለለት እርሱም አንድ ልጁን አቀረበ፤
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
huyo aliyekuwa amekufa akatoka nje, huku amefungwa sanda miguu na mikono, na uso wake umefunikwa. yesu akawaambia, "mfungueni, mkamwache aende zake."
የሞተውም እጆቹና እግሮቹ በመግነዝ እንደ ተገነዙ ወጣ፤ ፈቱም በጨርቅ እንደ ተጠመጠመ ነበር። ኢየሱስም። ፍቱትና ይሂድ ተዉት አላቸው።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
yesu alikuwa bethania, nyumbani kwa simoni, mkoma. alipokuwa mezani kula chakula, mama mmoja aliyekuwa na chupa ya alabasta yenye marashi ya nardo safi ya thamani kubwa alikuja, akaivunja hiyo chupa, akammiminia yesu marashi hayo kichwani.
እርሱም በቢታንያ በለምጻሙ በስምዖን ቤት በነበረ ጊዜ፥ በማዕድ ተቀምጦ ሳለ፥ አንዲት ሴት ዋጋው እጅግ የከበረ ጥሩ ናርዶስ ሽቱ የመላበት የአልባስጥሮስ ቢልቃጥ ይዛ መጣች፤ ቢልቃጡንም ሰብራ በራሱ ላይ አፈሰሰችው።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality: