Results for aliyekuwa translation from Swahili to Amharic

Computer translation

Trying to learn how to translate from the human translation examples.

Swahili

Amharic

Info

Swahili

aliyekuwa

Amharic

 

From: Machine Translation
Suggest a better translation
Quality:

Human contributions

From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.

Add a translation

Swahili

Amharic

Info

Swahili

kisha wakampeleka huyo mtu aliyekuwa kipofu kwa mafarisayo.

Amharic

በፊት ዕውር የነበረውን ሰው ወደ ፈሪሳውያን ወሰዱት።

Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

mbele yake yesu palikuwa na mtu mmoja aliyekuwa na ugonjwa wa kuvimba mwili.

Amharic

እነሆም፥ ሆዱ የተነፋ ሰው በፊቱ ነበረ።

Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

yesu akamwambia huyo mtu aliyekuwa na mkono uliopooza, "njoo hapa katikati."

Amharic

እጁ የሰለለችውንም ሰው። ተነሥተህ ወደ መካከል ና አለው።

Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:

Warning: Contains invisible HTML formatting

Swahili

basi, hapo palikuwa na mtu mmoja aliyekuwa mgonjwa kwa muda wa miaka thelathini na minane.

Amharic

በዚያም ከሠላሳ ስምንት ዓመት ጀምሮ የታመመ አንድ ሰው ነበረ፤

Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

na walisema : hataingia peponi ila aliyekuwa yahudi au mkristo . hayo ni matamanio yao .

Amharic

« ገነትንም አይሁድን ወይም ክርስቲያኖችን የኾነ ሰው እንጂ ሌላ አይገባትም » አሉ ፡ ፡ ይህቺ ( ከንቱ ) ምኞታቸው ናት ፡ ፡ « እውነተኞች እንደኾናችሁ አስረጃችሁን አምጡ » በላቸው ፡ ፡

Last Update: 2014-07-02
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

barnaba akaitwa zeu, na paulo, kwa vile yeye ndiye aliyekuwa anaongea, akaitwa herme.

Amharic

በርናባስንም ድያ አሉት፤ ጳውሎስንም እርሱ በመናገር ዋና ስለ ነበረ ሄርሜን አሉት።

Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

ikiwa mnatuuliza leo juu ya kile kitendo chema alichofanyiwa yule mtu aliyekuwa kiwete na jinsi alivyopata kuwa mzima,

Amharic

እኛ ዛሬ ለድውዩ ሰው ስለ ተደረገው መልካም ሥራ ይህ በምን እንደዳነ ብንመረመር፥

Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

mkumbuke yesu kristo aliyefufuliwa kutoka wafu, aliyekuwa wa ukoo wa daudi, kama isemavyo habari njema ninayoihubiri.

Amharic

በወንጌል እንደምሰብከው፥ ከሙታን የተነሣውን፥ ከዳዊት ዘርም የሆነውን ኢየሱስ ክርስቶስን አስብ፤

Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

na mara yule aliyekuwa kipofu akapata kuona, akamfuata yesu akimtukuza mungu. watu wote walipoona hayo, wakamsifu mungu.

Amharic

በዚያን ጊዜም አየ፥ እግዚአብሔንም እያከበረ ተከተለው። ሕዝቡም ሁሉ አይተው እግዚአብሔርን አመሰገኑ።

Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

nilipokuwa damasko, mkuu wa mkoa, aliyekuwa chini ya mfalme areta, alikuwa akiulinda mji wa damasko ili apate kunikamata.

Amharic

በደማስቆ አርስጦስዮስ ከተባለ ንጉሥ በታች የሆነ የሕዝብ ገዥ ሊይዘኝ እየወደደ የደማስቆ ሰዎችን ከተማ ያስጠብቅ ነበር፥

Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

filipo na bartholomayo, thoma na mathayo aliyekuwa mtoza ushuru; yakobo mwana wa alfayo, na thadayo;

Amharic

ፊልጶስም በርተሎሜዎስም፥ ቶማስም ቀራጩ ማቴዎስም፥ የእልፍዮስ ልጅ ያዕቆብም ታዴዎስም የተባለው ልብድዮስ፥

Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

mama mmoja aliyekuwa na chupa ya alabasta yenye marashi ya thamani kubwa, alimjia pale mezani alipokuwa amekaa kula chakula, akammiminia hayo marashi kichwani.

Amharic

አንዲት ሴት ዋጋው እጅግ የበዛ ሽቱ የሞላው የአልባስጥሮስ ብልቃጥ ይዛ ወደ እርሱ ቀረበች በማዕድም ተቀምጦ ሳለ በራሱ ላይ አፈሰሰችው።

Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

yesu alifika tena huko mjini kana, mkoani galilaya, mahali alipogeuza maji kuwa divai. kulikuwa na ofisa mmoja aliyekuwa na mtoto mgonjwa huko kafarnaumu.

Amharic

ኢየሱስም ውኃውን የወይን ጠጅ ወዳደረገባት ወደ ገሊላ ቃና ዳግመኛ መጣ። በቅፍርናሆምም ልጁ የታመመበት ከንጉሥ ቤት አንድ ሹም ነበረ።

Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

aliwapotosha wakazi wa dunia kwa miujiza hiyo aliyojaliwa kutenda mbele ya mnyama wa kwanza. aliwaambia wakazi wa dunia watengeneze sanamu kwa heshima ya yule mnyama aliyekuwa amejeruhiwa kwa upanga lakini akaishi tena.

Amharic

በአውሬውም ፊት ያደርግ ዘንድ ከተሰጡት ምልክቶች የተነሣ በምድር የሚኖሩትን ያስታል፤ የሰይፍም ቍስል ለነበረውና በሕይወት ለኖረው ለአውሬው ምስልን እንዲያደርጉ በምድር የሚኖሩትን ይናገራል።

Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

alipokuwa anashuka pwani, mtu mmoja aliyekuwa amepagawa na pepo alimjia kutoka mjini. kwa muda mrefu mtu huyo, hakuwa anavaa nguo, wala hakuwa anaishi nyumbani bali makaburini.

Amharic

ወደ ምድርም በወጣ ጊዜ አጋንንት ያደሩበት አንድ ሰው ከከተማ ወጥቶ ተገናኘው፥ ከብዙ ዘመንም ጀምሮ ልብስ ሳይለብስ በመቃብር እንጂ በቤት አይኖርም ነበር።

Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

wakamwuliza tena huyo mtu aliyekuwa kipofu, "maadam yeye amekufungua macho, wasemaje juu yake?" naye akawaambia, "yeye ni nabii!"

Amharic

በመካከላቸውም መለያየት ሆነ። ከዚህም የተነሣ ዕውሩን። አንተ ዓይኖችህን ስለ ከፈተ ስለ እርሱ ምን ትላለህ? ደግሞ አሉት። እርሱም። ነቢይ ነው አለ።

Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:

Warning: Contains invisible HTML formatting

Swahili

kwa imani, abrahamu alimtoa mwanae isaka sadaka wakati mungu alipomjaribu. huyo abrahamu ndiye aliyekuwa amepokea ahadi ya mungu, lakini, hata hivyo, alikubali kumtoa dhabihu mwanae wa pekee,

Amharic

አብርሃም በተፈተነበት ጊዜ ይስሐቅን በእምነት አቀረበ፥ የተስፋን ቃል የተቀበለው። በይስሐቅ ዘር ይጠራልሃል የተባለለት እርሱም አንድ ልጁን አቀረበ፤

Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

huyo aliyekuwa amekufa akatoka nje, huku amefungwa sanda miguu na mikono, na uso wake umefunikwa. yesu akawaambia, "mfungueni, mkamwache aende zake."

Amharic

የሞተውም እጆቹና እግሮቹ በመግነዝ እንደ ተገነዙ ወጣ፤ ፈቱም በጨርቅ እንደ ተጠመጠመ ነበር። ኢየሱስም። ፍቱትና ይሂድ ተዉት አላቸው።

Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:

Warning: Contains invisible HTML formatting

Swahili

yesu alikuwa bethania, nyumbani kwa simoni, mkoma. alipokuwa mezani kula chakula, mama mmoja aliyekuwa na chupa ya alabasta yenye marashi ya nardo safi ya thamani kubwa alikuja, akaivunja hiyo chupa, akammiminia yesu marashi hayo kichwani.

Amharic

እርሱም በቢታንያ በለምጻሙ በስምዖን ቤት በነበረ ጊዜ፥ በማዕድ ተቀምጦ ሳለ፥ አንዲት ሴት ዋጋው እጅግ የከበረ ጥሩ ናርዶስ ሽቱ የመላበት የአልባስጥሮስ ቢልቃጥ ይዛ መጣች፤ ቢልቃጡንም ሰብራ በራሱ ላይ አፈሰሰችው።

Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:

Get a better translation with
7,749,103,233 human contributions

Users are now asking for help:



We use cookies to enhance your experience. By continuing to visit this site you agree to our use of cookies. Learn more. OK