Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
karibu na mahali hapo kulikuwa na nguruwe wengi wakichungwa.
ከእነርሱም ርቆ የብዙ እሪያ መንጋ ይሰማራ ነበር።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
basi, hao pepo wakamsihi, "utupeleke kwa hao nguruwe, tuwaingie."
ወደ እሪያዎቹ እንድንገባ ስደደን ብለው ለመኑት።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
kulikuwa na kundi kubwa la nguruwe malishoni kwenye mteremko wa mlima.
በዚያም በተራራ ጥግ ብዙ የእሪያ መንጋ ይሰማራ ነበርና።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
akaomba kazi kwa mwananchi mtu mmoja wa huko naye akampeleka shambani mwake kulisha nguruwe.
ሄዶም ከዚያች አገር ሰዎች ከአንዱ ጋር ተዳበለ፥ እርሱም እሪያ ሊያሰማራ ወደ ሜዳ ሰደደው።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
basi, hao pepo wakamsihi, "ikiwa utatutoa, basi uturuhusu tuwaingie nguruwe wale."
አጋንንቱም። ታወጣንስ እንደሆንህ፥ ወደ እሪያው መንጋ ስደደን ብለው ለመኑት። ሂዱ አላቸው።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
wachungaji wa hao nguruwe walikimbia, wakatangaza jambo hilo mjini na mashambani. watu wakafika kuona yaliyotukia.
እረኞቹም ሸሽተው በከተማውና በአገሩ አወሩ፤ ነገሩም ምን እንደ ሆነ ለማየት መጡ።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
wachungaji wa hao nguruwe walikimbia, wakaenda mjini. huko walitoa habari zote na mambo yaliyowapata wale watu waliokuwa wamepagawa.
እረኞችም ሸሹ፥ ወደ ከተማይቱም ሄደው ነገሩን ሁሉ አጋንንትም በአደሩባቸው የሆነውን አወሩ።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
kulikuwa na kundi kubwa la nguruwe wakilisha mlimani. basi, hao pepo wakamsihi awaruhusu wawaingie. naye yesu akawapa ruhusa.
በዚያም በተራራው የብዙ እሪያ መንጋ ይሰማሩ ነበር፤ ወደ እነርሱም ሊገቡ እንዲፈቅድላቸው ለመኑት፤ ፈቀደላቸውም።
Last Update: 2012-05-04
Usage Frequency: 1
Quality:
yeye amekuharimishieni mzoga tu na damu na nyama ya nguruwe na kilicho tajiwa , katika kuchinjwa kwake , jina la asiye kuwa mwenyezi mungu . lakini aliye fikiwa na dharura bila ya kutamani wala kupita kiasi , yeye hana dhambi .
በናንተ ላይ እርም ያደረገው በክትንና ደምን ፣ የእሪያ ሥጋንም ፣ በእርሱም ( ማረድ ) ከአላህ ስም ሌላ የተነሳበትን ነገር ብቻ ነው ፡ ፡ ሽፍታና ወሰን አላፊ ሳይኾን ( ለመብላት ) የተገደደ ሰውም በርሱ ላይ ኃጢኣት የለበትም አላህ መሓሪ አዛኝ ነውና ፡ ፡
Last Update: 2014-07-02
Usage Frequency: 1
Quality:
amekuharimishieni nyamafu tu , na damu , na nyama ya nguruwe , na mnyama aliye chinjwa kwa ajili isiyo kuwa ya mwenyezi mungu . lakini anaye lazimishwa bila ya kuasi , wala kuruka mipaka , basi hakika mwenyezi mungu ni mwenye kusamehe na mwenye kurehemu .
በእናንተ ላይ እርም ያደረገው በክትንና ደምን ፣ የአሳማንም ስጋ ፣ ያንንም ( በመታረድ ጊዜ ) በእርሱ ከአላህ ስም ሌላ የተነሳበትን ብቻ ነው ፡ ፡ አመጸኛም ወሰን አላፊም ሳይኾን ( ለመብላት ) የተገደደ ሰው ( ይፈቀድለታል ) ፡ ፡ አላህ መሓሪ አዛኝ ነውና ፡ ፡
Last Update: 2014-07-02
Usage Frequency: 1
Quality: