Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
yesu alipofika huko alikuta lazaro amekwisha kaa kaburini kwa siku nne.
فلما أتى يسوع وجد انه قد صار له اربعة ايام في القبر.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
lakini mimi nawaambieni, atakayemtazama mwanamke kwa kumtamani, amekwisha zini naye moyoni mwake.
واما انا فاقول لكم ان كل من ينظر الى امرأة ليشتهيها فقد زنى بها في قلبه.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
tena jambo hili ni dhahiri zaidi: kuhani mwingine anayefanana na melkisedeki amekwisha tokea.
وذلك اكثر وضوحا ايضا ان كان على شبه ملكي صادق يقوم كاهن آخر
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
maana, tunajua kwamba kristo amekwisha fufuliwa kutoka wafu na hafi tena; kifo hakimtawali tena.
عالمين ان المسيح بعد ما أقيم من الاموات لا يموت ايضا. لا يسود عليه الموت بعد.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
tumaini hilo haliwezi kutuhadaa, maana mungu amekwisha miminia mioyoni mwetu upendo wake kwa njia ya roho mtakatifu aliyetujalia.
والرجاء لا يخزي لان محبة الله قد انسكبت في قلوبنا بالروح القدس المعطى لنا.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
napenda kuwajulisheni kwamba ndugu yetu timotheo amekwisha funguliwa gerezani. kama akifika hapa mapema, nitakuja naye nitakapokuja kwenu.
اعلموا انه قد أطلق الاخ تيموثاوس الذي معه سوف اراكم ان أتى سريعا.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
lakini yeye hakumjua huyo mtu aliyemponya, maana yesu alikuwa amekwisha ondoka mahali hapo, kwani palikuwa na umati mkubwa wa watu.
اما الذي شفي فلم يكن يعلم من هو. لان يسوع اعتزل. اذ كان في الموضع جمع.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
kwa maana amekwisha weka siku ambayo atauhukumu ulimwengu kwa haki kwa njia ya mtu mmoja aliyemteua. mungu amewathibitishia wote jambo hili kwa kumfufua mtu huyo kutoka wafu!"
لانه اقام يوما هو فيه مزمع ان يدين المسكونة بالعدل برجل قد عينه مقدما للجميع ايمانا اذ اقامه من الاموات
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
basi, kulikuwa na mtu mmoja aitwaye simoni ambaye alikuwa amekwisha fanya uchawi wake katika mji huo kwa muda na kuwashangaza watu wa samaria, akijiona kuwa yeye ni mtu maarufu.
وكان قبلا في المدينة رجل اسمه سيمون يستعمل السحر ويدهش شعب السامرة قائلا انه شيء عظيم.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
lakini sasa wanataka nchi iliyo bora zaidi, yaani nchi ya mbinguni. ndiyo maana mungu haoni haya wakimwita yeye mungu wao, kwa sababu yeye mwenyewe amekwisha watayarishia mji.
ولكن الآن يبتغون وطنا افضل اي سماويا. لذلك لا يستحي بهم الله ان يدعى الههم لانه اعدّ لهم مدينة
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
sasa timotheo amekwisha rudi, naye ametupa habari za kufurahisha kuhusu imani na upendo wenu. ametuarifu kwamba mnatukumbuka daima, na kwamba mna hamu ya kutuona sisi kama nasi tulivyo na hamu ya kuwaoneni.
واما الآن فاذ جاء الينا تيموثاوس من عندكم وبشرنا بايمانكم ومحبتكم وبان عندكم ذكرا لنا حسنا كل حين وانتم مشتاقون ان ترونا كما نحن ايضا ان نراكم
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
yesu alipokuwa bado anaongea, watu walifika kutoka nyumbani kwa yule ofisa wa sunagogi, wakamwambia, "binti yako amekwisha kufa. ya nini kuendelea kumsumbua mwalimu?"
وبينما هو يتكلم جاءوا من دار رئيس المجمع قائلين ابنتك ماتت. لماذا تتعب المعلم بعد.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
yesu akamwambia, "aliyekwisha oga hana lazima ya kunawa isipokuwa miguu, maana amekwisha takata mwili wote. ninyi mmetakata, lakini si nyote."
قال له يسوع. الذي قد اغتسل ليس له حاجة الا الى غسل رجليه بل هو طاهر كله. وانتم طاهرون ولكن ليس كلكم.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
lakini mtu yeyote asiyemkiri kristo hivyo, hana huyo roho atokaye kwa mungu. mtu huyo ana roho ambaye ni wa adui wa kristo; nanyi mlikwisha sikia kwamba anakuja, na sasa tayari amekwisha wasili ulimwenguni!
وكل روح لا يعترف بيسوع المسيح انه قد جاء في الجسد فليس من الله. وهذا هو روح ضد المسيح الذي سمعتم انه يأتي والآن هو في العالم.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
wenyeji wa pale walipokiona kile kiumbe kinaning'inia kwenye mkono wake waliambiana, "bila shaka mtu huyu amekwisha ua mtu, na ingawa ameokoka kuangamia baharini, haki haitamwacha aendelee kuishi!"
فلما رأى البرابرة الوحش معلقا بيده قال بعضهم لبعض لا بد ان هذا الانسان قاتل لم يدعه العدل يحيا ولو نجا من البحر.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting