Results for manabii translation from Swahili to Arabic

Human contributions

From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.

Add a translation

Swahili

Arabic

Info

Swahili

aliahidi hapo kale kwa njia ya manabii wake watakatifu,

Arabic

كما تكلم بفم انبيائه القديسين الذين هم منذ الدهر.

Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

watatokea manabii wengi wa uongo watakaowapotosha watu wengi.

Arabic

ويقوم انبياء كذبة كثيرون ويضلون كثيرين.

Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

jihadharini basi, msije mkapatwa na yale yaliyosemwa na manabii:

Arabic

‎فانظروا لئلا يأتي عليكم ما قيل في الانبياء

Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

mafundisho yote ya manabii na sheria yalibashiri juu ya nyakati hizi.

Arabic

لان جميع الانبياء والناموس الى يوحنا تنبأوا.

Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

wakati huohuo, manabii kadhaa walikuja antiokia kutoka yerusalemu.

Arabic

وفي تلك الايام انحدر انبياء من اورشليم الى انطاكية‎.

Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

sheria yote ya mose na mafundisho ya manabii vinategemea amri hizi mbili."

Arabic

بهاتين الوصيتين يتعلق الناموس كله والانبياء

Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:

Warning: Contains invisible HTML formatting

Swahili

ole wenu, kwa kuwa mnajenga makaburi ya manabii wale ambao wazee wenu waliwaua.

Arabic

ويل لكم لانكم تبنون قبور الانبياء وآباؤكم قتلوهم.

Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

akawafafanulia mambo yote yaliyomhusu yeye katika maandiko matakatifu kuanzia mose hadi manabii wote.

Arabic

ثم ابتدأ من موسى ومن جميع الانبياء يفسر لهما الأمور المختصة به في جميع الكتب

Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

jambo hili ni sawa kabisa na maneno ya manabii, kama maandiko matakatifu yasemavyo:

Arabic

‎وهذا توافقه اقوال الانبياء كما هو مكتوب‎.

Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

hapo zamani, mungu alisema na babu zetu mara nyingi kwa namna nyingi kwa njia ya manabii,

Arabic

الله بعد ما كلم الآباء بالانبياء قديما بانواع وطرق كثيرة

Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

mwasema: kama sisi tungaliishi nyakati za wazee wetu hatungalishirikiana nao katika mauaji ya manabii!

Arabic

وتقولون لو كنا في ايام آبائنا لما شاركناهم في دم الانبياء.

Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

ole wenu ninyi iwapo watu wote wanawasifu, maana wazee wao waliwafanyia manabii wa uongo vivyo hivyo.

Arabic

ويل لكم اذا قال فيكم جميع الناس حسنا. لانه هكذا كان آباؤهم يفعلون بالانبياء الكذبة

Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

manabii walipeleleza kwa makini na kufanya uchunguzi juu ya wokovu huo, wakabashiri juu ya neema hiyo ambayo ninyi mngepewa.

Arabic

الخلاص الذي فتش وبحث عنه انبياء. الذين تنبأوا عن النعمة التي لاجلكم

Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

kwa hiyo mnashuhudia na kukubaliana na matendo ya wazee wenu; maana wao waliwaua hao manabii, nanyi mnajenga makaburi yao.

Arabic

اذا تشهدون وترضون باعمال آبائكم. لانهم هم قتلوهم وانتم تبنون قبورهم.

Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

ni lazima yeye abaki huko mbinguni mpaka utakapofika wakati wa kurekebishwa vitu vyote, kama mungu alivyosema kwa njia ya manabii wake watakatifu wa tangu zamani.

Arabic

‎الذي ينبغي ان السماء تقبله الى ازمنة رد كل شيء التي تكلم عنها الله بفم جميع انبيائه القديسين منذ الدهر‎.

Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

maana watatokea kina kristo wa uongo na manabii wa uongo, watafanya ishara na maajabu, ili kuwapotosha wateule wa mungu, kama ikiwezekana.

Arabic

لانه سيقوم مسحاء كذبة وانبياء كذبة ويعطون آيات وعجائب لكي يضلوا لو امكن المختارين ايضا.

Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

akahamia katika mji uitwao nazareti. ndivyo yalivyotimia maneno yaliyonenwa kwa njia ya manabii: "ataitwa mnazare."

Arabic

وأتى وسكن في مدينة يقال لها ناصرة. لكي يتم ما قيل بالانبياء انه سيدعى ناصريا

Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:

Warning: Contains invisible HTML formatting

Swahili

ndiye aliyewapa watu zawadi: wengine aliwajalia wawe mitume, wengine manabii, wengine wawe waeneza habari njema, wengine wachungaji na walimu.

Arabic

وهو اعطى البعض ان يكونوا رسلا والبعض انبياء والبعض مبشرين والبعض رعاة ومعلّمين

Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

yesu aliwachukua kando wale kumi na wawili, akawaambia, "sikilizeni! tunakwenda yerusalemu na huko kila kitu kilichoandikwa na manabii kuhusu mwana wa mtu kitakamilishwa.

Arabic

واخذ الاثني عشر وقال لهم ها نحن صاعدون الى اورشليم وسيتم كل ما هو مكتوب بالانبياء عن ابن الانسان.

Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:

Warning: Contains invisible HTML formatting

Swahili

ndipo mtakuwa na kulia na kusaga meno, wakati mtakapowaona abrahamu, isaka na yakobo, na manabii wote wapo katika ufalme wa mungu, lakini ninyi wenyewe mmetupwa nje!

Arabic

هناك يكون البكاء وصرير الاسنان متى رأيتم ابراهيم واسحق ويعقوب وجميع الانبياء في ملكوت الله وانتم مطروحون خارجا.

Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:

Get a better translation with
9,144,484,182 human contributions

Users are now asking for help:



We use cookies to enhance your experience. By continuing to visit this site you agree to our use of cookies. Learn more. OK