From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
aliahidi hapo kale kwa njia ya manabii wake watakatifu,
كما تكلم بفم انبيائه القديسين الذين هم منذ الدهر.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
watatokea manabii wengi wa uongo watakaowapotosha watu wengi.
ويقوم انبياء كذبة كثيرون ويضلون كثيرين.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
jihadharini basi, msije mkapatwa na yale yaliyosemwa na manabii:
فانظروا لئلا يأتي عليكم ما قيل في الانبياء
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
mafundisho yote ya manabii na sheria yalibashiri juu ya nyakati hizi.
لان جميع الانبياء والناموس الى يوحنا تنبأوا.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
wakati huohuo, manabii kadhaa walikuja antiokia kutoka yerusalemu.
وفي تلك الايام انحدر انبياء من اورشليم الى انطاكية.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
sheria yote ya mose na mafundisho ya manabii vinategemea amri hizi mbili."
بهاتين الوصيتين يتعلق الناموس كله والانبياء
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
ole wenu, kwa kuwa mnajenga makaburi ya manabii wale ambao wazee wenu waliwaua.
ويل لكم لانكم تبنون قبور الانبياء وآباؤكم قتلوهم.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
akawafafanulia mambo yote yaliyomhusu yeye katika maandiko matakatifu kuanzia mose hadi manabii wote.
ثم ابتدأ من موسى ومن جميع الانبياء يفسر لهما الأمور المختصة به في جميع الكتب
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
jambo hili ni sawa kabisa na maneno ya manabii, kama maandiko matakatifu yasemavyo:
وهذا توافقه اقوال الانبياء كما هو مكتوب.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
hapo zamani, mungu alisema na babu zetu mara nyingi kwa namna nyingi kwa njia ya manabii,
الله بعد ما كلم الآباء بالانبياء قديما بانواع وطرق كثيرة
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
mwasema: kama sisi tungaliishi nyakati za wazee wetu hatungalishirikiana nao katika mauaji ya manabii!
وتقولون لو كنا في ايام آبائنا لما شاركناهم في دم الانبياء.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
ole wenu ninyi iwapo watu wote wanawasifu, maana wazee wao waliwafanyia manabii wa uongo vivyo hivyo.
ويل لكم اذا قال فيكم جميع الناس حسنا. لانه هكذا كان آباؤهم يفعلون بالانبياء الكذبة
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
manabii walipeleleza kwa makini na kufanya uchunguzi juu ya wokovu huo, wakabashiri juu ya neema hiyo ambayo ninyi mngepewa.
الخلاص الذي فتش وبحث عنه انبياء. الذين تنبأوا عن النعمة التي لاجلكم
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
kwa hiyo mnashuhudia na kukubaliana na matendo ya wazee wenu; maana wao waliwaua hao manabii, nanyi mnajenga makaburi yao.
اذا تشهدون وترضون باعمال آبائكم. لانهم هم قتلوهم وانتم تبنون قبورهم.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
ni lazima yeye abaki huko mbinguni mpaka utakapofika wakati wa kurekebishwa vitu vyote, kama mungu alivyosema kwa njia ya manabii wake watakatifu wa tangu zamani.
الذي ينبغي ان السماء تقبله الى ازمنة رد كل شيء التي تكلم عنها الله بفم جميع انبيائه القديسين منذ الدهر.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
maana watatokea kina kristo wa uongo na manabii wa uongo, watafanya ishara na maajabu, ili kuwapotosha wateule wa mungu, kama ikiwezekana.
لانه سيقوم مسحاء كذبة وانبياء كذبة ويعطون آيات وعجائب لكي يضلوا لو امكن المختارين ايضا.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
akahamia katika mji uitwao nazareti. ndivyo yalivyotimia maneno yaliyonenwa kwa njia ya manabii: "ataitwa mnazare."
وأتى وسكن في مدينة يقال لها ناصرة. لكي يتم ما قيل بالانبياء انه سيدعى ناصريا
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
ndiye aliyewapa watu zawadi: wengine aliwajalia wawe mitume, wengine manabii, wengine wawe waeneza habari njema, wengine wachungaji na walimu.
وهو اعطى البعض ان يكونوا رسلا والبعض انبياء والبعض مبشرين والبعض رعاة ومعلّمين
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
yesu aliwachukua kando wale kumi na wawili, akawaambia, "sikilizeni! tunakwenda yerusalemu na huko kila kitu kilichoandikwa na manabii kuhusu mwana wa mtu kitakamilishwa.
واخذ الاثني عشر وقال لهم ها نحن صاعدون الى اورشليم وسيتم كل ما هو مكتوب بالانبياء عن ابن الانسان.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
ndipo mtakuwa na kulia na kusaga meno, wakati mtakapowaona abrahamu, isaka na yakobo, na manabii wote wapo katika ufalme wa mungu, lakini ninyi wenyewe mmetupwa nje!
هناك يكون البكاء وصرير الاسنان متى رأيتم ابراهيم واسحق ويعقوب وجميع الانبياء في ملكوت الله وانتم مطروحون خارجا.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality: