Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
tena maandiko mengine yanasema: "watamtazama yule waliyemtoboa."
Եւ դարձեալ միւս գրուածն ասում է. «Պիտի նայեն նրան, ում խոցեցին»:
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
walisema hivyo kwa sababu hawakuthubutu kumwuliza tena maswali mengine.
Եւ այլեւս ոչ ոք չէր համարձակւում նրան որեւէ բան հարցնել:
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
hivyo, pamoja na mawaidha mengine mengi, yohane aliwahimiza watu akiwahubiria habari njema.
Նա շատ ուրիշ մխիթարիչ խօսքերով բարի լուրն էր աւետում ժողովրդին:
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
basi, kama hamwezi kufanya jambo dogo kama hilo, kwa nini kuwa na wasiwasi juu ya yale mengine?
Արդ, եթէ փոքր բանի մէջ անկարող էք, այլ բաների համար ինչո՞ւ էք հոգս անում:
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
bali, zingatieni kwanza ufalme wa mungu na matakwa yake, na hayo mengine yote mtapewa kwa ziada.
Նախ խնդրեցէ՛ք Աստծու արքայութիւնը եւ նրա արդարութիւնը, եւ այդ բոլորը Աստուած ձեզ աւելիով կը տայ:
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
watamkabidhi kwa watu wa mataifa mengine ili adhihakiwe, apigwe viboko na kusulubiwa; lakini siku ya tatu atafufuliwa."
ու նրան հեթանոսներին պիտի մատնեն՝ ծաղրուելու, ծեծուելու եւ խաչը հանուելու համար, սակայն նա երրորդ օրը յարութիւն պիտի առնի»:
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
"kwa hiyo nawaambieni, ufalme wa mungu utaondolewa kwenu na kupewa watu wa mataifa mengine wenye kutoa matunda yake."
Դրա համար ասում եմ ձեզ, որ ձեզնից կը վերցուի Աստծու արքայութիւնը եւ կը տրուի այն ազգին, որ պտղաբեր կը դարձնի այն:
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
yesu aliwatuma hao kumi na wawili na kuwapa maagizo haya: "msiende kwa watu wa mataifa mengine, wala msiingie katika mji wa wasamaria.
Նրանց Տասներկուսին Յիսուս ուղարկեց, պատուիրեց նրանց ու ասաց. «Հեթանոսների շրջաններով չգնաք եւ սամարացիների որեւէ քաղաքը չմտնէք,
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
wengine watauawa kwa upanga, wengine watachukuliwa mateka katika nchi zote; na mji wa yerusalemu utakanyagwa na watu wa mataifa mengine, hadi nyakati zao zitakapotimia.
Նրանք սրի պիտի քաշուեն, գերի պիտի տարուեն բոլոր հեթանոսներից. եւ Երուսաղէմը ոտքի կոխան պիտի լինի ազգերից, մինչեւ որ լրանան հեթանոսների ժամանակները»:
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
"lakini ole wenu mafarisayo, kwa sababu mnatoza watu zaka hata juu ya majani ya kukolezea chakula, mchicha na majani mengine, na huku hamjali juu ya haki na upendo kwa mungu. mambo haya iliwapasa muwe mmeyazingatia bila kuyasahau yale mengine.
Բայց վա՜յ ձեզ՝ փարիսեցիներիդ, որ տասանորդ էք տալիս անանուխի, փեգենայի եւ ամէն տեսակ բանջարեղէնի, բայց զանց էք անում Աստծու արդարութիւնն ու սէրը. այս բաները պէտք էր անել, բայց միւսները զանց չանել:
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting