From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
na tukisema yalitoka kwa binadamu, watu wote hapa watatupiga mawe, maana wote wanaamini kwamba yohane alikuwa nabii."
eta baldin badarragu, guiçonetaric: populu guciac lapidaturen gaitu: ecen segur daducate, ioannes propheta cela.
yeye hutoa huduma ya kuhani mkuu katika mahali patakatifu sana, yaani ndani ya ile hema ya kweli iliyojengwa na bwana, siyo na binadamu.
sanctuarioco ministre eta eguiazco tabernacleco, cein fincatu baitu iaunac, eta ez guiçonac.
yesu akasema, "heri wewe simoni mwana wa yona, kwa maana si binadamu aliyekufunulia ukweli huu, ila baba yangu aliye mbinguni.
eta ihardesten çuela iesusec erran cieçón hari, dohatsu aiz simon ionaren semeá: ecen haraguiac ez odolac eztrauc hori reuelatu, baina ene aita ceruètan denac.
kwa njia ya mtu mmoja dhambi iliingia ulimwenguni, nayo ikasababisha kifo. hivyo kifo kimeenea katika jumuiya yote ya binadamu, kwa maana wote wametenda dhambi.
halacotz, nola guiçon-batez bekatua mundura sarthu içan baita, eta bekatuaz herioa: eta halaz guiçon gucietara herioa heldu içan da, ceren guciéc bekatu eguin baituté.
kama maandiko yasemavyo: "kila binadamu ni kama nyasi, na utukufu wake wote ni kama maua ya porini. nyasi hunyauka na maua huanguka.
ceren haragui gucia baita belharra beçala, eta guiçonaren gloria gucia belhar lilia beçala: eyhartu da belharra, eta haren lilia erori:
yesu akawatazama, akawaambia, "kwa binadamu haiwezekani, lakini kwa mungu si hivyo, maana kwa mungu mambo yote huwezekana."
baina hetarat behaturic iesusec dio, guiçonac baithan impossible da, baina ez iaincoa baithan: ecen gauça guciac possible dirade iaincoa baithan.
majaribu mliyokwisha pata ni ya kawaida kwa binadamu. mungu ni mwaminifu, naye hataruhusu mjaribiwe kupita nguvu zenu, ila pamoja na majaribu, yeye atawapeni pia nguvu ya kustahimili na njia ya kutoka humo salama.
tentationec etzaituztez hartu humanoc baicen: eta fidal da iaincoa, ceinec ezpaitu permettituren tenta çaitezten egar ahal deçaque çuen baino guehiagoz: baina emanen du tentationearequin batean ilkitbidea-ere sustenga ahal deçaçuençát.
kama mnaitimiza ile sheria ya utawala kama ilivyoandikwa katika maandiko matakatifu: "mpende binadamu mwenzako kama unavyojipenda wewe mwenyewe", mtakuwa mnafanya vema kabisa.
badaric-ere baldin legue reala complitzen baduçue scripturaren araura, cein baita, on eritziren draucac eure hurcoari eure buruäri beçala, vngui eguiten duçue:
sasa nataka kibali cha nani: cha binadamu, ama cha mungu? au je, nataka kuwapendeza watu? kama ningefanya hivyo, mimi singekuwa kamwe mtumishi wa kristo.
ecen orain guiçonéz predicatzen dut ala iaincoaz? ala guiçonén gogara eguin nahiz nabila? segur baldin oraino guiçonén gogaraco baninz, christen cerbitzari ezninçande.
lakini, ni kama yasemavyo maandiko matakatifu: "mambo ambayo jicho halijapata kuyaona wala sikio kuyasikia, mambo ambayo binadamu hajapata kuyafikiria moyoni, hayo ndiyo mungu aliyowatayarishia wale wampendao."
baina predicatzen ditugu, scribatua den beçala, beguic ikussi eztituen, eta beharric ençun eztituen gauçác, eta guiçonén bihotzetara igan içan eztiradenac, cein iaincoac hari on daritzoteney appaindu baitrauzté.