From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
hapo fahamu zao zitawarudia tena, wakaponyoka katika mtego wa ibilisi aliyewanasa na kuwafanya wayatii matakwa yake.
eta emenda ditecen, haren vorondatearen eguiteco, itzuriric deabruaren laçotic, ceinez hatzamanac baitaude.
kisha ibilisi akamchukua hadi mahali pa juu, akamwonyesha kwa mara moja falme zote za ulimwengu. huyo shetani akamwambia,
orduan eramanic hura deabruac mendi gora batetara, eracuts cietzon munduco resuma guciac dembora moment batez.
anapaswa awe mwenye sifa njema kati ya watu walio nje ya kanisa, ili asije akalaumiwa na kuanguka katika mtego wa ibilisi.
behar dic are harc duen testimoniage ona campocoetaric-ere: reprotchutara eta deabruen laçora eror eztadinçát.
yesu akawaambia, "je, sikuwachagua ninyi kumi na wawili? hata hivyo, mmoja wenu ni ibilisi!"
ihardets ciecén iesusec, etzaituztet nic hamabi elegitu, eta çuetaric bat deabru baita?
lakini atendaye dhambi ni wa ibilisi, maana ibilisi ametenda dhambi tangu mwanzo. lakini mwana wa mungu alikuja duniani kuiharibu kazi ya ibilisi.
bekatu eguiten duena, deabruaganic da: ecen hatseandanic deabruac bekatu eguiten du: hunetacotz aguertu içan da iaincoaren semea, deseguin litzançát deabruaren obrác.
basi, yesu na wanafunzi wake walikuwa mezani kwa chakula cha jioni. ibilisi alikwisha mtia yuda, mwana wa simoni iskarioti, nia ya kumsaliti yesu.
eta affal ondoan (deabruac ia eçarri çuenean iudas iscarioten, simonen semearen bihotzean, hura tradi leçan)
lakini yeyote asiyetenda mambo maadilifu, au asiyempenda ndugu yake, huyo si mtoto wa mungu. hiyo ndiyo tofauti iliyoko kati ya watoto wa mungu na watoto wa ibilisi.
hunetan agueri dirade iaincoaren haourrac eta deabruaren haourrac: norc-ere iustitia ezpaitu eguiten, eta ezpaitu bere anayea onhesten hura ezta iaincoaganic.
mnajua yesu wa nazareti na jinsi mungu alivyomteua kwa kummiminia roho mtakatifu na nguvu. mungu alikuwa pamoja naye; yeye alikwenda huko na huko akitenda mema na kuwaponya wote waliokuwa wamevamiwa na ibilisi.
nola iesus nazareno vnctatu duen iaincoac spiritu sainduaz eta verthutez, cein ebili içan baita vngui eguiten çuela eta deabruaz tormentatu ciraden guciac sendatzen cituela: ecen iaincoa cen harequin
ibilisi, aliyekuwa anawapotosha, akatupwa ndani ya ziwa linalowaka moto wa kiberiti, walimo yule mnyama na yule nabii wa uongo, nao watateswa mchana na usiku, milele na milele.
eta hec seducitzen cituen deabrua, iraitz cedin suzco eta suphrezco stagnera, non baitirade bestiá eta propheta falsua: eta tormentaturen baitirade egun eta gau secula seculacotz.
basi, joka hilo kuu likatupwa nje. joka hilo ndiye yule nyoka wa kale ambaye huitwa pia ibilisi au shetani. ndiye anayeudanganya ulimwengu wote. naam, alitupwa duniani, na malaika wake wote pamoja naye.
eta iraitz cedin dragoin handia, sugue çahar hura, deabru eta satan deitzen dena, ceinec mundu gucia seducitzen baitu: iraitzi içan da bada lurrera, eta haren aingueruäc harequin iraitz citecen.
basi, kwa vile watoto hao, kama awaitavyo, ni watu wenye mwili na damu, yesu mwenyewe akawa kama wao na kushiriki ubinadamu wao. alifanya hivyo ili kwa njia ya kifo chake amwangamize ibilisi, ambaye ana mamlaka juu ya kifo,
ceren bada haourrac participant baitirade haraguian eta odolean, hura-ere halaber participant eguin içan da hetan beretan, herioaz deseguin leçançát herioaren iaurgoá çuena, cein baita deabrua: