From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
unakumbuka kwamba tangu utoto wako umeyajua maandiko matakatifu ambayo yaweza kukupatia hekima iletayo wokovu kwa njia ya imani kwa kristo yesu.
i da od malena poznaje sveta pisma koja su vrsna uèiniti te mudrim tebi na spasenje po vjeri, vjeri u kristu isusu.
aibu kwenu! ndiyo kusema hakuna hata mmoja miongoni mwenu mwenye hekima kiasi cha kuweza kutatua tatizo kati ya ndugu waumini?
vama na sramotu govorim. tako? zar nema meðu vama ni jednoga mudra koji bi mogao rasuditi meðu braæom?
basi sisi twafundisha, si kwa maneno tuliyofundishwa kwa hekima ya binadamu, bali kwa maneno tuliyofundishwa na roho, tukifafanua mambo ya kiroho kwa walio na huyo roho.
to i navjeæujemo, ne nauèenim rijeèima èovjeèje mudrosti, nego naukom duha izlauæi duhovno duhovnima.
je, ni nani mwenye hekima na akili miongoni mwenu? basi, aonyeshe jambo hilo kwa mwenendo wake mzuri na kwa matendo yake mema yanayofanyika kwa unyenyekevu na hekima.
je li tko mudar i razborit meðu vama? neka dobrim ivljenjem pokae svoja djela u mudroj blagosti.
wakati huo yesu alisema, "nakushukuru ee baba, bwana wa mbingu na dunia, maana umewaficha wenye hekima mambo haya, ukawafumbulia watoto wadogo.
u ono vrijeme reèe isus: "slavim te, oèe, gospodaru neba i zemlje, to si ovo sakrio od mudrih i umnih, a objavio malenima.
wakasema kwa sauti kuu: "mwanakondoo aliyechinjwa anastahili kupokea uwezo, utajiri, hekima, nguvu, utukufu na sifa."
klicahu iza glasa: "dostojan je zaklani jaganjac primiti moæ, i bogatstvo, i mudrost, i snagu, i èast, i slavu, i blagoslov!"
ujumbe wa kristo ukae ndani yenu pamoja na utajiri wake wote. fundishaneni na kushauriana kwa hekima yote. imbeni zaburi, nyimbo na tenzi za kiroho; mwimbieni mungu mioyoni mwenu kwa shukrani.
rijeè kristova neka u svem bogatstvu prebiva u vama! u svakoj se mudrosti pouèavajte i urazumljujte! psalmima, hvalospjevima, pjesmama duhovnim od srca pjevajte hvalu bogu!