Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
watu wamchao mungu, walimzika stefano na kumfanyia maombolezo makubwa.
bogobojazni su ljudi pokopali stjepana i odrali veliko alovanje za njim.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
wote waliokuwa katika kile kikao cha baraza walimkodolea macho stefano, wakauona uso wake umekuwa kama wa malaika.
a svi koji su sjedili u vijeæu uprijee pogled u stjepana te opazie - lice mu kao u anðela.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
mungu alimjalia stefano neema tele, akampa nguvu nyingi hata akawa anatenda miujiza na maajabu kati ya watu.
stjepan je pun milosti i snage èinio velika èudesa i znamenja u narodu.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
waliendelea kumpiga mawe stefano, huku akiwa anasali: "bwana yesu, ipokee roho yangu!"
i dok su ga kamenovali, stjepan je zazivao: "gospodine isuse, primi duh moj!"
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
na kwamba wakati shahidi wako stefano alipouawa, mimi binafsi nilikuwako pale nikakubaliana na kitendo hicho na kuyalinda makoti ya wale waliokuwa wanamuua.
i dok se prolijevala krv stjepana, svjedoka tvoga, i ja sam ondje stajao i odobravao te èuvao haljine onih koji ga ubijahu.'
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
lakini stefano akiwa amejawa na roho mtakatifu, akatazama juu mbinguni, akauona utukufu wa mungu na yesu amekaa upande wa kulia wa mungu.
ali on, pun duha svetoga, uprije pogled u nebo i ugleda slavu boju i isusa gdje stoji zdesna bogu
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
kwa hiyo waliwahonga watu kadhaa waseme: "tumemsikia stefano akisema maneno ya kumkashifu mose na kumkashifu mungu."
onda podmetnue neke ljude koji rekoe: "Èuli smo ga govoriti pogrdne rijeèi protiv mojsija i boga."
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
kutokana na mateso yaliyotokea wakati stefano alipouawa, waumini walitawanyika. wengine walikwenda mpaka foinike, kupro na antiokia wakihubiri ule ujumbe kwa wayahudi tu.
oni dakle to ih raspri nevolja nastala u povodu stjepana doprijee do fenicije, cipra i antiohije, nikomu ne propovijedajuæi rijeèi doli samo idovima.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
naye stefano akasema, "ndugu zangu na akina baba, nisikilizeni! mungu alimtokea baba yetu abrahamu alipokuwa kule mesopotamia kabla hajaenda kukaa kule harani.
stjepan odgovori: "braæo i oci, èujte! bog slave ukaza se ocu naemu abrahamu dok bijae u mezopotamiji, prije negoli se nastani u haranu,
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
saulo naye alikiona kitendo hicho cha kumwua stefano kuwa sawa. siku hiyo kanisa la yerusalemu lilianza kuteswa vibaya. waumini wote, isipokuwa tu wale mitume, walilazimika kutawanyika katika sehemu za mashambani za yudea na samaria.
savao je pristao da se stjepan smakne. u onaj dan navali velik progon na crkvu u jeruzalemu. svi se osim apostola rasprie po krajevima judejskim i samarijskim.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
jambo hilo likaipendeza jumuiya yote ya waumini. wakawachagua stefano, mtu mwenye imani kubwa na mwenye kujawa na roho mtakatifu, filipo, prokoro, nikanora, timona, parmena na nikolao wa antiokia ambaye hapo awali alikuwa ameongokea dini ya kiyahudi.
prijedlog se svidje svemu mnotvu pa izabrae stjepana, mua puna vjere i duha svetoga, zatim filipa, prohora, nikanora, timona, parmenu te antiohijskog pridolicu nikolu.
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality: