Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
ikiwa alichojenga mtu juu ya huo msingi kitaustahimili huo moto, atapokea tuzo;
if any man's work abide which he hath built thereupon, he shall receive a reward.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
yeyote atakayeshinda atapokea hiki, nami nitakuwa mungu wake, naye atakuwa mwanangu.
he that overcometh shall inherit all things; and i will be his god, and he shall be my son.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
atapokea mengi zaidi wakati huu wa sasa, na kupokea uzima wa milele wakati ujao."
who shall not receive manifold more in this present time, and in the world to come life everlasting.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
lakini mwenye kutubia baada ya dhulma yake, na akatengenea, basi mwenyezi mungu atapokea toba yake.
but god will surely turn in mercy to him who repents after his transgression and reforms.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
kumbukeni kwamba kila mtu mwenye kutenda mema, awe mtumwa au mtu huru, atapokea tuzo lake kutoka kwa bwana.
knowing that whatsoever good thing any man doeth, the same shall he receive of the lord, whether he be bond or free.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
anayemkaribisha nabii kwa sababu ni nabii, atapokea tuzo la nabii. anayemkaribisha mtu mwema kwa sababu ni mtu mwema, atapokea tuzo la mtu mwema.
he that receiveth a prophet in the name of a prophet shall receive a prophet's reward; and he that receiveth a righteous man in the name of a righteous man shall receive a righteous man's reward.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
lakini mwenye kutubia baada ya dhulma yake, na akatengenea, basi mwenyezi mungu atapokea toba yake. hakika mwenyezi mungu ni mwenye maghfira na mwenye kurehemu.
but if the thief repents after his crime, and amends his conduct, allah turneth to him in forgiveness; for allah is oft-forgiving, most merciful.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
atapokea mara mia zaidi wakati huu wa sasa nyumba, ndugu, dada, mama, watoto na mashamba pamoja na mateso; na katika wakati ujao atapokea uzima wa milele.
but he shall receive an hundredfold now in this time, houses, and brethren, and sisters, and mothers, and children, and lands, with persecutions; and in the world to come eternal life.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
na kila aliyeacha nyumba, au ndugu, au dada, au baba, au mama, au watoto, au mashamba, kwa ajili yangu, atapokea mara mia zaidi, na kupata uzima wa milele.
and every one that hath forsaken houses, or brethren, or sisters, or father, or mother, or wife, or children, or lands, for my name's sake, shall receive an hundredfold, and shall inherit everlasting life.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality: