From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
haikuwa kwa
it was not for
Last Update: 2021-07-13
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
ninasali kwa dhati kwamba haikuwa kwa makusudi!!
i honestly pray it wasn't arson!!
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
ninajua haikuwa kwa lengo la kuridhisha jamii, lakini ningependa angalau hukumu imefikia miaka kumi!
i know it was not about satisfying the society, but i would have liked the years to be 10 at least! #oscarpistorius #oscartrial — sibusiso mgidi (@sibusisomgidi1) october 21, 2014
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
fursa ya kumwona kumwona papa francis alipoanza ziara yake ya ki-papa nchini ufilipino haikuwa kwa wazi kwa kila m-filipino aliyetaka.
not everyone in the philippines was able to see pope francis when he began his current visit to the philippines.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
hivyo, ingawa niliandika ile barua, haikuwa kwa ajili ya yule aliyekosa, au kwa ajili ya yule aliyekosewa. niliandika kusudi ionekane wazi mbele ya mungu jinsi mlivyo na bidii kwa ajili yetu.
wherefore, though i wrote unto you, i did it not for his cause that had done the wrong, nor for his cause that suffered wrong, but that our care for you in the sight of god might appear unto you.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
changamoto hizi zimemfanya mwanablogu austin madinga kujiuliza ikiwa uongozi wa malawi unajifunza chochote kutoka kwa na matukio haya:
these left blogger austin madinga wonder if malawi leadership was learning anything from the happenings:
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
maana wakati tulipowahubirieni ile habari njema haikuwa kwa maneno tu, bali pia kwa nguvu na kwa roho mtakatifu, tukiwa na hakika kwamba ujumbe huo ulikuwa wa kweli. mnajua jinsi tulivyoishi pamoja nanyi; tuliishi kwa manufaa yenu.
for our gospel came not unto you in word only, but also in power, and in the holy ghost, and in much assurance; as ye know what manner of men we were among you for your sake.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
na haikuwa kwa mwanaadamu kwamba mwenyezi mungu amsemeze ila kwa wahyi (ufunuo), au kwa nyuma ya pazia, au kumtuma mjumbe. naye humfunulia ayatakayo kwa idhini yake.
and it is not for any human being that allah should speak to him except by revelation or from behind a partition or that he sends a messenger to reveal, by his permission, what he wills.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
mungu aliwafunulia kwamba wakati walipokuwa wanasema juu ya hayo mambo ambayo ninyi mmekwisha sikia sasa kutoka kwa wale wajumbe waliowatangazieni habari njema kwa nguvu ya roho mtakatifu aliyetumwa kutoka mbinguni, hiyo kazi yao haikuwa kwa faida yao wenyewe, bali kwa ajili yenu. hayo ndiyo mambo ambayo hata malaika wangependa kuyafahamu.
unto whom it was revealed, that not unto themselves, but unto us they did minister the things, which are now reported unto you by them that have preached the gospel unto you with the holy ghost sent down from heaven; which things the angels desire to look into.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference: