From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
jaji kiongozi wa mahakama kuu
judges of the high court
Last Update: 2023-03-07
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
chaguzo la jaji – proggie uganda
judge’s choice – proggie uganda
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
lakini jaji masipa alikuwa na hoja inayoeleweka kutoa hukumu
but #judgemasipa had well reasoned argument reaching sentence. #oscarsentence #oscartrial. — thebe ikalafeng (@thebeikalafeng) october 21, 2014
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
na kisha alichana picha ya mfalme mbele ya jaji.
cont'd # bahrain — maryam alkhawaja (@maryamalkhawaja) october 14, 2014 #pt she then ripped a picture of the king and placed it in front of the judge.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
sawa, u mtenda haki na mema wa namna gani, jaji bardwell.
well, how thoroughly magnanimous of you, justice bardwell.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
baada ya kukaa jela kwa saa 48, jaji aliamuru kwamba aachiwe huru.
after 48 hours spent in jail a judge decides to release him.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
jaji anayesimamia kesi hiyo, anayeitwa salavati, bado hajatoa uamuzi katika kesi hiyo.
the presiding judge, named salavati, has not yet ruled in the case.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
bila kujali vile tunavyofikiria jaji masipa alielewa kwa hakika lengo la hukumu. ni kupatanisha watu sio kutafuta mkosaji
regardless of what we think judge masipa really understands the purpose of #judgment, its for #reconciliation not #condemnation #oscartrial — prosper ntuli (@proetic) october 21, 2014
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
amemjibu jaji: “mimi ni binti wa mtu ajisikiye fahari na aliye huru…”
she said to judge: " i'm the daughter of a proud & free man..." cont'd #bahrain — maryam alkhawaja (@maryamalkhawaja) october 14, 2014
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
Warning: Contains invisible HTML formatting
rais thabo mbeki tayari amewasilisha nyaraka katika mahakama ya mambo ya katiba kuomba ruhusa ili kukata rufaa dhidi ya hukumu iliyotolewa na jaji chris nicholson.
president thabo mbeki has lodged papers in the constitutional court for permission to add his name to an application to appeal judge chris nicholson’s judgment.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
je! hakika ninaweza kukuhukumu kwa msingi wa picha hii, lakini mimi sio jaji wa mahakama kuu kushinikiza uamuzi wangu.
can definitely judge you on basis of this photograph, but i am not a judge of supreme court to pin my decision.
Last Update: 2021-05-07
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
betty mould iddrisu, jaji na waziri wa sheria wa ghana, anaandika kwenye blogu ya pambazuka.org:
betty mould iddrisu, jurist and minister of justice of ghana, writes on pambazuka.org:
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
kama jaji wa masuala ya amani, anatakiwa kuelewa kwamba ndoa za rangi tofauti si kinyume cha sheria tena – baada ya kuonekana ni kinyume cha katiba miaka 40 iliyopita.
as a justice of the peace, he should be aware that interracial marriage is not illegal anymore – having been deemed unconstitutional 40 years ago.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
hukumu hiyo ilifikiwa baada ya vikao 49, masaa 250, na kuandikwa katika kurasa 60,000, sultab al qassemi alitwiti, akimnukuu jaji ahmed refaat.
the trial took 49 sessions, 250 hours and spanned 60,000 pages, tweeted sultan al qassemi, quoting judge ahmed refaat.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference: