From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
kimbari
race
Last Update: 2021-11-11
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
"kama kila mmoja atasahau, je hatutakuwa tunafungua mlango wa mauaji ya kimbari kwa siku zijazo?
"if every1 forgets, are we not opening the door to future massacres?" http://t.co/txti1kyizi — sui-lee wee 黄瑞黎 (@suilee) may 6, 2014
lakini wanyarwanda wanamtaka aendelee kubaki ili ahakikishe utengamano na maendeleo yanakuwepo kwenye nchi hiyo tete iliyokuwa kwenye mauaji ya kimbari kwa miaka 21.
but rwandese want him to stay on to ensure stability and development of a very fragile country rwanda is 21 years after genocide.
rais kageme aliingia madarakani rasmi mwaka 2000 ingawa wengi wanaamini alikuwa madarakani kwa namna fulani tangu wakati wa mauaji ya kimbari yaliyoikumba nchi hiyo mwaka 1994.
president kagame officially assumed office in 2000 although many believe he has technically been in power since the 1994 genocide.
rangi ya zambarau ni alama ya maombolezo nchini rwanda na jana tarehe 7 aprili, ilikuwa siku ya kuadhimisha kumbukumbu ya miaka 15 tangu mauaji ya kimbari.
the colour purple is the colour of mourning in rwanda and yesterday, 7th april, was the 15th anniversary of the genocide.
akiguswa na maendeleo ya uchumi yaliyofanywa na nchi ya rwanda, abramowitz haoni kama kuna dalili yoyote inayoonyesha kuwa kuliwahi kutokea mauaji ya kimbari miaka 15 iliyopita:
impressed by the economic development of rwanda, abramowitz sees no traces of the atrocities experienced 15 years ago:
je mmeweza kuwafikiria maelfu ya watamil wasio na hatia ambao waliuwawa kutokana na matumizi ya jumla ya makombora na silaha za sumu yaliyofanywa na jeshi la sri lanka wakati wa vita hivi vya kimbari?
ever thought of the thousands of innocent tamils who were slaughtered by the indiscriminate use of artillery and chemical weapons by the sri lankan army during the genocidal war?"
katika blogu inayoitwa world is witness, abramovitz anasimulia ushuhuda wa aliyenusurika kwenye mauaji ya kimbari aliyeitwa venuste, ambapo ushuhuda wake uliigusa mno hadhira iliyokuwepo wakati wa maadhimisho hayo:
in the blog world is witness, abramovitz recounts the testimony of a genocide survivor called venuste that moved the audience with his story during the ceremony:
wakati nchi jirani ya rwanda inagonga vichwa vya habari na maadhimisho ya mauaji ya kimbari ya mwaka wa 1994 na kuongezeka kwa mvutano na ufaransa, burundi imeharibiwa katika kupuuzwa kwa mgogoro wa kisiasa na dalili za vurugu zinazoweza kusababisha mapigano mapya ya wahutu na watutsi.
while neighboring rwanda is making news with the commemoration of the 1994 genocide and the increased tension with france, burundi is marred in an overlooked political crisis and surge of violence that opposes, again, hutus and tutsis.
tovuti ya arretsurimages.net iliripoti kukamatwa kwa mwimbaji maarufu kizito mihigo, mhangan wa mauaji ya kimbari, na watu wengine watatu, akiwemo mwanandishi wa habari kwa tuhuma za kupanga shambulizi la bomu kwenye jengo moja jijini kigali.
the site arretsurimages.net reported the arrest of famous singer kizito mihigo, a genocide survivor, and three other individuals, including a journalist accused of plotting a grenade attack on a building in kigali.
ndio maana tulivutwa sana na mawazo, kwa mfano, kwamba mauaji ya kimbari nchini rwanda yalikuwa ni matokeo ya “chuki za asili za kikabila” badala ya mukhtadha wa siasa za kijiografia.
this is why we were so sold on the idea, for example, that the rwandan genocide was the result of “ancient ethnic hatreds” rather than geopolitical context.
- jeshi la wanademokrasia kwa ajili ya ukombozi wa rwanda, forces democratiques de liberation du rwanda (fdlr), au interahamwe, waliondesha mauaji ya kimbari nchini rwanda mwaka 1994, amabo wameweka kambi huko mashariki ta jamhuri ya kidemokrasia ya kongo baada utawala wao wa vitisho nchini mwao.
-the forces democratiques de liberation du rwanda (fdlr), or interahamwe, the perpetrators of the 1994 rwandan genocide, who set up shop in the eastern drc following their reign of terror in their own country.