Results for kumtia translation from Swahili to English

Computer translation

Trying to learn how to translate from the human translation examples.

Swahili

English

Info

Swahili

kumtia

English

 

From: Machine Translation
Suggest a better translation
Quality:

Human contributions

From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.

Add a translation

Swahili

English

Info

Swahili

wakashauriana jinsi ya kumtia yesu nguvuni kwa hila wamuue.

English

and consulted that they might take jesus by subtilty, and kill him.

Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

kisha herode akazidisha ubaya wake kwa kumtia yohane gerezani.

English

added yet this above all, that he shut up john in prison.

Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

baadhi ya watu walitaka kumtia nguvuni lakini hakuna aliyejaribu kumkamata.

English

and some of them would have taken him; but no man laid hands on him.

Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

hata hivyo, polisi wameshindwa hata kumtia nguvuni angalau mhusika mmoja.

English

the police have failed to arrest even a single perpetrator!

Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

congo (drc): video zasaidia kumtia hatiani thomas lubanga kwa uhalifu wa kivita

English

dr of congo: videos helped convict thomas lubanga of war crimes · global voices

Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

kwa hiyo wakawa wanatafuta njia ya kumtia nguvuni, lakini waliwaogopa watu kwa sababu wao walimtambua yeye kuwa nabii.

English

but when they sought to lay hands on him, they feared the multitude, because they took him for a prophet.

Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

basi, watu wakataka kumtia nguvuni, lakini hakuna mtu aliyethubutu kumkamata kwa sababu saa yake ilikuwa haijafika bado.

English

then they sought to take him: but no man laid hands on him, because his hour was not yet come.

Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

wakati mtoto huyo alipokuwa anamjia yesu, yule pepo alimwangusha chini na kumtia kifafa. lakini yesu akamkemea yule pepo mchafu akamponya mtoto na kumkabidhi kwa baba yake.

English

and as he was yet a coming, the devil threw him down, and tare him. and jesus rebuked the unclean spirit, and healed the child, and delivered him again to his father.

Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

naye akawaambia, "je, hata ninyi hamwelewi? je, hamwelewi kwamba kitu kinachomwingia mtu toka nje hakiwezi kumtia unajisi,

English

and he saith unto them, are ye so without understanding also? do ye not perceive, that whatsoever thing from without entereth into the man, it cannot defile him;

Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:

Warning: Contains invisible HTML formatting

Swahili

basi, wakawa wanatafuta wakati wa kufaa. wakawahonga watu fulani wajisingizie kuwa wema, wakawatuma wamnase yesu kwa maswali, na hivyo waweze kumtia nguvuni na kumpeleka kwa wakuu wa serikali.

English

and they watched him, and sent forth spies, which should feign themselves just men, that they might take hold of his words, that so they might deliver him unto the power and authority of the governor.

Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

makuhani wakuu, walimu wa sheria na wazee walifahamu ya kwamba mfano huo ulikuwa unawahusu. kwa hiyo walijaribu kumtia nguvuni, lakini waliogopa umati wa watu. basi, wakamwacha wakaenda zao.

English

and they sought to lay hold on him, but feared the people: for they knew that he had spoken the parable against them: and they left him, and went their way.

Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

wakati huohuo yesu akauambia huo umati wa watu waliokuja kumtia nguvuni, "je, mmekuja kunikamata kwa mapanga na marungu kama kwamba mimi ni mnyang'anyi? kila siku nilikuwa hekaluni nikifundisha, na hamkunikamata!

English

in that same hour said jesus to the multitudes, are ye come out as against a thief with swords and staves for to take me? i sat daily with you teaching in the temple, and ye laid no hold on me.

Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:

Warning: Contains invisible HTML formatting

Get a better translation with
7,772,873,347 human contributions

Users are now asking for help:



We use cookies to enhance your experience. By continuing to visit this site you agree to our use of cookies. Learn more. OK