Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
wakashauriana jinsi ya kumtia yesu nguvuni kwa hila wamuue.
and consulted that they might take jesus by subtilty, and kill him.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
kisha herode akazidisha ubaya wake kwa kumtia yohane gerezani.
added yet this above all, that he shut up john in prison.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
baadhi ya watu walitaka kumtia nguvuni lakini hakuna aliyejaribu kumkamata.
and some of them would have taken him; but no man laid hands on him.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
hata hivyo, polisi wameshindwa hata kumtia nguvuni angalau mhusika mmoja.
the police have failed to arrest even a single perpetrator!
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
congo (drc): video zasaidia kumtia hatiani thomas lubanga kwa uhalifu wa kivita
dr of congo: videos helped convict thomas lubanga of war crimes · global voices
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
kwa hiyo wakawa wanatafuta njia ya kumtia nguvuni, lakini waliwaogopa watu kwa sababu wao walimtambua yeye kuwa nabii.
but when they sought to lay hands on him, they feared the multitude, because they took him for a prophet.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
basi, watu wakataka kumtia nguvuni, lakini hakuna mtu aliyethubutu kumkamata kwa sababu saa yake ilikuwa haijafika bado.
then they sought to take him: but no man laid hands on him, because his hour was not yet come.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
wakati mtoto huyo alipokuwa anamjia yesu, yule pepo alimwangusha chini na kumtia kifafa. lakini yesu akamkemea yule pepo mchafu akamponya mtoto na kumkabidhi kwa baba yake.
and as he was yet a coming, the devil threw him down, and tare him. and jesus rebuked the unclean spirit, and healed the child, and delivered him again to his father.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
naye akawaambia, "je, hata ninyi hamwelewi? je, hamwelewi kwamba kitu kinachomwingia mtu toka nje hakiwezi kumtia unajisi,
and he saith unto them, are ye so without understanding also? do ye not perceive, that whatsoever thing from without entereth into the man, it cannot defile him;
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
basi, wakawa wanatafuta wakati wa kufaa. wakawahonga watu fulani wajisingizie kuwa wema, wakawatuma wamnase yesu kwa maswali, na hivyo waweze kumtia nguvuni na kumpeleka kwa wakuu wa serikali.
and they watched him, and sent forth spies, which should feign themselves just men, that they might take hold of his words, that so they might deliver him unto the power and authority of the governor.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
makuhani wakuu, walimu wa sheria na wazee walifahamu ya kwamba mfano huo ulikuwa unawahusu. kwa hiyo walijaribu kumtia nguvuni, lakini waliogopa umati wa watu. basi, wakamwacha wakaenda zao.
and they sought to lay hold on him, but feared the people: for they knew that he had spoken the parable against them: and they left him, and went their way.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
wakati huohuo yesu akauambia huo umati wa watu waliokuja kumtia nguvuni, "je, mmekuja kunikamata kwa mapanga na marungu kama kwamba mimi ni mnyang'anyi? kila siku nilikuwa hekaluni nikifundisha, na hamkunikamata!
in that same hour said jesus to the multitudes, are ye come out as against a thief with swords and staves for to take me? i sat daily with you teaching in the temple, and ye laid no hold on me.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting