Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
katika kuonesha kushikamana na rubani huyu, kumekuwa na mpasuko katika ulipizaji kisasi
in solidarity with the pilot, divided on revenge
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
na siku itapo simama saa ya kiyama, siku hiyo wataangamia wenye kushikamana na upotovu.
and on the day that the hour will be established, on that day the followers of falsehood (polytheists, disbelievers, worshippers of false deities, etc.) shall lose (everything).
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
basi mkiogopa kuwa hawataweza kushikamana na mipaka ya mwenyezi mungu hapo itakuwa hapana lawama ikiwa mwanamke atajikomboa.
and if ye fear that they may not be able to keep the limits of allah, in that case it is no sin for either of them if the woman ransom herself.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
mostafa fathi pia aliweka makala yake kwenye facebook na karim el beheiry akaiweka posti hiyo kwenye blogu yake kushikamana na amira.
mostafa fathi also posted a note on facebook and karim el beheiry published a post on his blog in solidarity with amira.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
"siku ya tarehe 12 julai kundi la watu kadhaa lilitayarisha maandamano ya kimya kimya mjini krakow – kushikamana na gaza.
"on july 12th a group of people organised a silent protest in krakow – in solidarity with gaza.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
na mwenyezi mungu ndiye mwenye ufalme wa mbingu na ardhi. na siku itapo simama saa ya kiyama, siku hiyo wataangamia wenye kushikamana na upotovu.
allah's is the kingdom of the heavens and the earth, and on the day when the hour (of resurrection) shall come to pass, the followers of falsehood shall be in utter loss.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
wala si halali kwenu kuchukua chochote mlicho wapa wake zenu, ila ikiwa wote wawili wakiogopa ya kwamba hawataweza kushikamana na mipaka ya mwenyezi mungu. basi mkiogopa kuwa hawataweza kushikamana na mipaka ya mwenyezi mungu hapo itakuwa hapana lawama ikiwa mwanamke atajikomboa.
and it is not lawful for you to take back anything out of what you have given them. there is, however, an exception to this; if you fear that they might not be able to keep within the limits imposed by allah, there is no harm if both agree mutually that the wife should obtain divorce by giving something as compensation to the husband.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality: