Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
associated press lilitaarifu kuwa, polisi mmoja alijeruhiwa kidogo katika tukio hilo.
the associated press reported one police officer was slightly injured.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
the guardian pia lilitaarifu kuwa vyombo vya habari vya uturuki viliwakariri maofisa wa polisi walioelezea kuwa dhkp-c ndio waliohusika kwenye shambulio hilo.
the guardian also reported that turkish news agencies were quoting police sources as saying dhkp-c was behind the attack.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
gazeti la south china morning post lilitaarifu kuwa, maandamano yaliratibiwa kupitia mitandao ya kijamii ya nchini china ya huduma za ujumbe ambayo ni: qq na wechat.
south china morning post has reported that the protest had been organized via china’s social messaging services: qq and wechat.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
muswada unaopinga ushoga wa 2009 uliopendekezwa nchini uganda bado unasubiri uamuzi wa mwisho utakaotolewa na bunge la nchi hiyo, lakini gazeti la daily monitor lilitaarifu jumatano kuwa rais yoweri museveni "ameihakikishia idara ya mambo ya nje ya marekani nia yake ya kuukwamisha muswada huo":
uganda's proposed anti-homosexuality bill 2009 still awaits a final decision by the country's parliament, but the country's daily monitor newspaper reported wednesday that president yoweri museveni has "assured the us state department of his willingness to block the bill":
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
pamoja na kuwa hakuna kundi lolote lililotangaza kuhusika katika tukio hilo, kwa mujibu wa associated press anadolu, moja ya vyombo vya habari vinavyomilikiwa na serikali lilitaarifu kuwa, washambuliaji hao walikuwa ni wanachama wa chama cha kijeshi cha wanaharakati wa ukombozi wa kimapinduzi, au dhkp-c.
though no group has claimed responsibility for the attack, according to the associated press the state-run anadolu news agency reported that the assailants were members of the revolutionary people’s liberation army-front, or dhkp-c.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality: