From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
safu ya mashua
row of a boat
Last Update: 2023-05-22
Usage Frequency: 1
Quality:
nao mara wakaiacha mashua pamoja na baba yao, wakamfuata.
and they immediately left the ship and their father, and followed him.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
yesu alipanda mashua, na wanafunzi wake wakaenda pamoja naye.
and when he was entered into a ship, his disciples followed him.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
yesu alipanda mashua, akavuka ziwa na kufika katika mji wake.
and he entered into a ship, and passed over, and came into his own city.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
basi, wakaondoka peke yao kwa mashua, wakaenda mahali pa faragha.
and they departed into a desert place by ship privately.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
basi, yesu akawaaga watu, akapanda mashua, akaenda katika eneo la magadani.
and he sent away the multitude, and took ship, and came into the coasts of magdala,
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
basi, baada ya kuzileta zile mashua ukingoni mwa ziwa, wakaacha yote, wakamfuata.
and when they had brought their ships to land, they forsook all, and followed him.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
ilipokuwa jioni, mashua ilikuwa katikati ya ziwa, naye alikuwa peke yake katika nchi kavu.
and when even was come, the ship was in the midst of the sea, and he alone on the land.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
wakapanda mashua ili wavuke kwenda kafarnaumu. giza lilikuwa limeingia, na yesu alikuwa hajawafikia bado.
and entered into a ship, and went over the sea toward capernaum. and it was now dark, and jesus was not come to them.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
akaona mashua mbili ukingoni mwa ziwa; wavuvi wenyewe walikuwa wametoka, wanaosha nyavu zao.
and saw two ships standing by the lake: but the fishermen were gone out of them, and were washing their nets.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
makundi makubwa ya watu yalimzunguka hata yesu akapanda mashua, akaketi. hao watu walisimama kwenye ukingo wa ziwa,
and great multitudes were gathered together unto him, so that he went into a ship, and sat; and the whole multitude stood on the shore.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
na wakati huo ile mashua ilikwishafika karibu katikati ya ziwa, lakini ilikuwa inakwenda mrama kwa sababu upepo ulikuwa unaipinga.
but the ship was now in the midst of the sea, tossed with waves: for the wind was contrary.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
alipokwenda mbele kidogo, aliwaona yakobo na yohane, wana wa zebedayo. nao pia walikuwa ndani ya mashua yao wakizitengeneza nyavu zao.
and when he had gone a little further thence, he saw james the son of zebedee, and john his brother, who also were in the ship mending their nets.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
mara yesu akawaamuru wanafunzi wake wapande mashua, wamtangulie kwenda bethsaida, ng'ambo ya ziwa, wakati yeye anauaga umati wa watu.
and straightway he constrained his disciples to get into the ship, and to go to the other side before unto bethsaida, while he sent away the people.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
wakazi wa nchi ya gerase walishikwa na hofu kubwa. kwa hiyo wakamwomba yesu aondoke, aende zake. hivyo yesu alipanda tena mashua, akaondoka.
then the whole multitude of the country of the gadarenes round about besought him to depart from them; for they were taken with great fear: and he went up into the ship, and returned back again.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
timu ya kuwaokoa ilikuwa chini ya watu 200 kulikuwa na helikopta mbili tu, mashua mbili baharini, mashua mbili za walinzi wa pwani, mashua sita ya vikosi maalum..
the rescue team was less than 200. there were only two helicopters, two marine boats, two coast guard boats, six special forces boats.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
kesho yake umati wa watu wale waliobaki upande wa pili wa ziwa walitambua kwamba kulikuwa na mashua moja tu pale, na yesu hakuingia katika mashua pamoja na wanafunzi wake, ila wanafunzi hao walikuwa wamekwenda zao peke yao.
the day following, when the people which stood on the other side of the sea saw that there was none other boat there, save that one whereinto his disciples were entered, and that jesus went not with his disciples into the boat, but that his disciples were gone away alone;
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
yesu akawaambia, "tupeni wavu upande wa kulia wa mashua nanyi mtapata samaki." basi, wakatupa wavu lakini sasa hawakuweza kuuvuta tena kwa wingi wa samaki.
and he said unto them, cast the net on the right side of the ship, and ye shall find. they cast therefore, and now they were not able to draw it for the multitude of fishes.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
yesu alikuwa sehemu ya nyuma ya mashua, amelala juu ya mto. basi, wanafunzi wakamwamsha na kumwambia, "mwalimu, je, hujali kwamba sisi tunaangamia?"
and he was in the hinder part of the ship, asleep on a pillow: and they awake him, and say unto him, master, carest thou not that we perish?
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
alipokwenda mbele kidogo, aliwaona ndugu wengine wawili: yakobo na yohane, wana wa zebedayo. hao walikuwa ndani ya mashua pamoja na baba yao zebedayo, wakitengeneza nyavu zao. basi yesu akawaita,
and going on from thence, he saw other two brethren, james the son of zebedee, and john his brother, in a ship with zebedee their father, mending their nets; and he called them.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality: