Results for mizeituni translation from Swahili to English

Human contributions

From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.

Add a translation

Swahili

English

Info

Swahili

lakini yesu akaenda kwenye mlima wa mizeituni.

English

jesus went unto the mount of olives.

Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

kisha wakaimba wimbo, wakaondoka, wakaenda katika mlima wa mizeituni.

English

and when they had sung an hymn, they went out into the mount of olives.

Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

baada ya kuimba wimbo, wakaondoka, wakaenda katika mlima wa mizeituni.

English

and when they had sung an hymn, they went out into the mount of olives.

Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

kisha mitume wakarudi yerusalemu kutoka mlima wa mizeituni ulioko karibu kilomita moja kutoka mjini.

English

then returned they unto jerusalem from the mount called olivet, which is from jerusalem a sabbath day's journey.

Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

yesu na wanafunzi wake walipokaribia yerusalemu na kufika bethfage katika mlima wa mizeituni, aliwatuma wanafunzi wake wawili,

English

and when they drew nigh unto jerusalem, and were come to bethphage, unto the mount of olives, then sent jesus two disciples,

Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

yesu akatoka, na kama ilivyokuwa desturi yake, akaenda katika mlima wa mizeituni; wanafunzi wake wakamfuata.

English

and he came out, and went, as he was wont, to the mount of olives; and his disciples also followed him.

Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

yesu alipokuwa ameketi juu ya mlima wa mizeituni akielekea hekalu, petro, yakobo, yohane na andrea wakamwuliza kwa faragha,

English

and as he sat upon the mount of olives over against the temple, peter and james and john and andrew asked him privately,

Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

wakati wa mchana, siku hizo, yesu alikuwa akifundisha watu hekaluni; lakini usiku alikuwa akienda katika mlima wa mizeituni na kukaa huko.

English

and in the day time he was teaching in the temple; and at night he went out, and abode in the mount that is called the mount of olives.

Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

alipofika karibu na yerusalemu, katika mteremko wa mlima wa mizeituni, umati wote na wanafunzi wake, wakaanza kushangilia na kumtukuza mungu kwa sauti kubwa, kwa sababu ya mambo makuu waliyoyaona;

English

and when he was come nigh, even now at the descent of the mount of olives, the whole multitude of the disciples began to rejoice and praise god with a loud voice for all the mighty works that they had seen;

Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:

Swahili

yesu alipokuwa ameketi juu ya mlima wa mizeituni, wanafunzi walimwendea faraghani, wakamwuliza, "twambie mambo haya yatatukia lini? ni ishara gani itakayoonyesha kuja kwako na mwisho wa nyakati?"

English

and as he sat upon the mount of olives, the disciples came unto him privately, saying, tell us, when shall these things be? and what shall be the sign of thy coming, and of the end of the world?

Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:

Warning: Contains invisible HTML formatting

Get a better translation with
8,877,161,507 human contributions

Users are now asking for help:



We use cookies to enhance your experience. By continuing to visit this site you agree to our use of cookies. Learn more. OK