Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
au mnadhani mko salama kwa alioko juu ya kuwa yeye hakupelekeeni kimbunga chenye changarawe?
are you secure that he who is in the sky will not unleash upon you a rain of stones?
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
mnadhani mko salama kwa alioko juu kuwa hatakudidimizeni kwenye ardhi, na tahamaki hiyo inatikisika!
are ye secure that he who is in the heaven will not sink the earth with you and then it should quake?
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
mnadhani kuwa mtaingia peponi, bila ya kukujieni kama yaliyo wajia wale walio pita kabla yenu?
are you under the illusion that you will enter paradise whereas the suffering, which came to those before you, has not yet come to you?
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
au je, tunataka kumfanya bwana awe na wivu? mnadhani tuna nguvu zaidi kuliko yeye?
do we provoke the lord to jealousy? are we stronger than he?
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
au mnadhani mko salama kwa alioko juu ya kuwa yeye hakupelekeeni kimbunga chenye changarawe? mtajua vipi maonyo yangu?
do you feel secure that he who is in heaven will not loose against you a squall of pebbles, then you shall know how my warning is?
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
naye yesu akawaambia, "mnadhani wagalilaya hao walikuwa wahalifu zaidi kuliko wagalilaya wengine, ati kwa sababu wameteseka hivyo?
and jesus answering said unto them, suppose ye that these galilaeans were sinners above all the galilaeans, because they suffered such things?
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
je! mnadhani mtaingia peponi na hali mwenyezi mungu hajawapambanua wale miongoni mwenu walio pigana jihadi, na hajawapambanua walio subiri?
did ye think that ye would enter heaven without allah testing those of you who fought hard (in his cause) and remained steadfast?
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
yohane alipokuwa anamaliza ujumbe wake aliwaambia watu: mnadhani mimi ni nani? mimi si yule mnayemtazamia. huyo anakuja baada yangu na mimi sistahili hata kuzifungua kamba za viatu vyake.
and as john fulfilled his course, he said, whom think ye that i am? i am not he. but, behold, there cometh one after me, whose shoes of his feet i am not worthy to loose.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
mnadhani kuwa mtaingia peponi, bila ya kukujieni kama yaliyo wajia wale walio pita kabla yenu? iliwapata shida na madhara na wakatikiswa hata mtume na walio amini pamoja naye wakasema: lini nusura ya mwenyezi mungu itakuja?
deem ye that ye will enter the garden while ye hath not come upon you the like of that which came upon those who have passed away before you there touched them adversity and distress, and shaken were they, until the apostle and those who believed with him said; when cometh the succour of allah!
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality: