From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
labda mohammad khatami, rais mwanamageuzi wa zamani wa iran anaweza kulijibu hili.
probably mohammad khatami, the former reformist president of iran can answer this.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
mohammad al-ogaimi aliongezea: alikuwa na wafuasi 800 wa twita, sasa anao 2100.
mohammad al-ogaimi added: she was followed by 800 people, now they are 2100.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
mohammad wa kabobfest, maybe anaishi ukingo wa magharibi, amekuwa akiripoti kuhusu gaza kwa siku kadhaa sasa.
mohammad of kabobfest, who is based in the west bank, has been reporting on gaza for several days now.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
mohammad ali abtahi, makamu wa rais wa zamani, anadhani ujumbe wa obama ni wa muhimu sana na anaandika:
mohammad ali abtahi, former iranian vice president, considers obama's message very important and says:
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
green vote pia alituma ujumbe mwingine wa twita unaosema kwamba mohammad ali tarekh, mwanafunzi mwanaharakati, alitiwa mbaroni kwenye jimbo la shiraz.
green vote also tweeted that mohammad ali tarekh, a student activist, was arrested in shiraz.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
maofisa kadhaa wa iran kama mohammad javad zarif, waziri wa mambo ya kigeni, hutumia mitandao ya twita na facebook hata wakati tovuti hizo zimefungiwa nchini iran.
several iranian officials such as mohammad javad zarif, minister of foreign affairs, use facebook and twitter while these sites are blocked in iran.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
mohammad reza pourshajari, mwanablogu aliyefungwa hela anayefahamika kwa jina lake la kalamu siamak mehr, aliandika barua ya wazi kutoka jela ambapo alizungumzia vitendo vya utesaji na hali ngumu anayokabiliana nayo gerezani.
mohammad reza pourshajari, a jailed blogger known by his pen name siamak mehr, wrote an open letter from prison where he spoke of torture and extremely difficult conditions in prison.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
mnamo tarehe 21 ya mwezi machi, 2012, mahakama ya bangladesh iliamuru mamlaka zinazohusika kuzifungia kurasa za mtandao wa facebook na tovuti moja kwa kumkufuru mtume mohammad, koran na imani nyingine za kidini.
on 21 march, 2012, a bangladesh court ordered concerned authorities to shut down five facebook pages and a website for blaspheming the prophet mohammed, the koran and other religious subjects.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
mnamo machi 20, 2013, mohiuddin na wanablogu wengine saba walifunguliwa mashtaka na mtu mmoja huko katika wilaya ya natore, kaskazini mwa bangladesh kwa makosa ya kutoa taarifa za uongo kuhusu uislam, mungu na nabii mohammad.
on march 20, 2013, mohiuddin and seven other bloggers were sued by an individual in the northern bangladeshi district of natore on charges of libeling islam, god, and the prophet muhammad.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
kwa mujibu wa taarifa zilizopatikana, kurasa zilizotuhumiwa zina maoni na katuni tofauti kuhusu mtume mohammad, koran kitabu kitakatifu cha waislam, yesu, bwana buddha na miungu ya ki-hindu.
according to reports the accused pages contain disparaging remarks and cartoons about prophet mohammed, the muslim holy book of koran, jesus, lord buddha and hindu gods.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
baada ya kampeni ya "mimi si mhafidhina" kwa heshima ya mohammad chaar na kampeni ya "mimi si uchi" kumwuunga mkono jackie chamoun mshindi wa olimpiki wa mchezo wa kuteleza kwenye barafu na kisha dhidi ya unyanyasaji wa majumbani, kampeni ya kupinga ubaguzi wa rangi inatumia namna inayofanana (kwa sasa ni ile ile) ya kuonyesha upinzani mtandaoni kwa kuwaonyesha wananchi wakiweka habari na picha zao zenye kubeba ujumbe.
after the "i am not a martyr" campaign in honor of mohammad chaar and the "i am not naked" campaign first in support of olympic skier jackie chamoun and then against domestic violence, the anti-racism campaign is using the same (and now-familiar) method of online protest featuring average citizens posting selfies and carrying a message.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting