Results for nakuonea translation from Swahili to English

Computer translation

Trying to learn how to translate from the human translation examples.

Swahili

English

Info

Swahili

nakuonea

English

 

From: Machine Translation
Suggest a better translation
Quality:

Human contributions

From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.

Add a translation

Swahili

English

Info

Swahili

nakuonea huruma

English

Last Update: 2013-05-16
Usage Frequency: 1
Quality:

Reference: Anonymous

Swahili

nakuonea huruma sana

English

i feel very sorry for you

Last Update: 2019-12-29
Usage Frequency: 1
Quality:

Reference: Anonymous

Swahili

aah vipi mizigo umesha weka tayari mh aah sijechelewa nikaja achwa na gari mh aah basi jikaze usilie mpenzi aah mi nitarudi niombee kwa mwenyezi aah zile taabu na njaa msimu mzima mavuno hakuna hua nakosa raha pale mkikosa cha kutafuna roho yangu inauma sema nitafanya nini na pesa sina nakuonea na huruma bora niende mjini kusaka tumaa kama watoto wakinililia waambie kesho nitarejea wadanganye na vibagia waambie pipi nitawaletea kama watoto wakinililia waambie kesho nitarejea na usichoke kuvumilia na kila siku kuniombea wewe unajua kwamba nafsi na roho vitakuwa na wasiwasi upweke na moyo utajawa na simanzi nitapo kuwa nakwenda shambani alafu niko peke yangu honey nitapo kuja kuwa na majirani nitaumia aah pale ninapotoka kisimani ama nipo na kuni kichwani sina wa kunitua nyumbani nitalia maneno yako yananifanya nakosa raha na mawazo hata mwenzako sijawahi kufika dar huu ndo mwanzo vile nakwenda na sijui pa kukaa wala mavazi ooh we niombee niepushwe na balaa na maradhi ooh eeh kama watoto wakinililia waambie kesho nitarejea wadanganye na vibagia waambie pipi nitawaletea kama watoto wakinililia waambie kesho nitarejea na usichoke kuvumilia na kila siku kuniombea unapokwenda kama ukifika salama utukumbuke na sisi usisahau kwaba mkeo na wana umetuacha na dhiki hilo usijali ila naomba chunga sana ogopa na marafiki wakikulagai hata kwa mbegu za mtama waambie sidanganyiki unapokwenda kama ukifika salama utukumbuke na sisi kumbuka mkeo nyumbani na wana umetuacha na dhiki hilo usijali ila naomba chunga sana ogopa na marafiki wakikulagai hata kwa mbegu za mtama waambie sidanganyiki eeeh eeeh oooh nitarejea mama niombee nirudi salama oooh watoto wadanganye iih uuh uuh aah tozalee zijaee hmm kamaaa… kama watoto wakinililia waambie kesho nitarejea (nitarejea mama) wadanganye (uuh wadanganyee) na vibagia waambie pipi nitawaletea kama watoto wakinililia (kamaa)waambie kesho nitarejea (nitarejea mama) na usichoke kuvumilia (usichoke) na kila siku kuniombea (nirudi salama)

English

query length limit excedeed. max allowed query : 500 chars

Last Update: 2017-12-19
Usage Frequency: 1
Quality:

Reference: Anonymous

Get a better translation with
7,744,582,930 human contributions

Users are now asking for help:



We use cookies to enhance your experience. By continuing to visit this site you agree to our use of cookies. Learn more. OK