From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
baba na mama hawajamabo
how is mother and father
Last Update: 2020-09-14
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
mimi mzima wa afya pia baba na mama wapo fresh pia sema rudi dar .aise
karibu
Last Update: 2020-10-21
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
baba na mama yake yesu walikuwa wakistaajabia maneno aliyosema simeoni juu ya mtoto.
and joseph and his mother marvelled at those things which were spoken of him.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
"waheshimu baba na mama yako," hii ndiyo amri ya kwanza ambayo imeongezewa ahadi, yaani,
honour thy father and mother; (which is the first commandment with promise;)
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
Warning: Contains invisible HTML formatting
lakini tunapaswa kukumbuka kwamba sheria haziwekwi kwa ajili ya watu wema, bali kwa ajili ya wahalifu na wasiotii, wasiomcha mungu na wenye dhambi, watu wasio na dini na wa kidunia. watu wanaowaua baba na mama zao, au wauaji wowote wale;
knowing this, that the law is not made for a righteous man, but for the lawless and disobedient, for the ungodly and for sinners, for unholy and profane, for murderers of fathers and murderers of mothers, for manslayers,
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
lakini wao wakamcheka. basi, akawaondoa wote nje, akawachukua baba na mama ya huyo msichana na wale wanafunzi wake, wakaingia chumbani alimokuwa huyo msichana.
and they laughed him to scorn. but when he had put them all out, he taketh the father and the mother of the damsel, and them that were with him, and entereth in where the damsel was lying.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
kama yasemavyo maandiko matakatifu: "kwa hiyo, mwanamume atawaacha baba na mama yake, ataungana na mkewe, nao wawili watakuwa mwili mmoja."
for this cause shall a man leave his father and mother, and shall be joined unto his wife, and they two shall be one flesh.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
Warning: Contains invisible HTML formatting
"mtu yeyote akija kwangu, asipowachukia baba na mama yake, mke wake, watoto, ndugu na dada zake, naam, hata na nafsi yake mwenyewe, hawezi kuwa mwanafunzi wangu.
if any man come to me, and hate not his father, and mother, and wife, and children, and brethren, and sisters, yea, and his own life also, he cannot be my disciple.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
Warning: Contains invisible HTML formatting
unazijua amri: usizini; usiue; usiibe; usitoe ushahidi wa uongo; usidanganye; waheshimu baba na mama yako."
thou knowest the commandments, do not commit adultery, do not kill, do not steal, do not bear false witness, defraud not, honour thy father and mother.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
Warning: Contains invisible HTML formatting