From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
nipe mechi basi kama unanionea hurma
unanionea
Last Update: 2020-01-27
Usage Frequency: 2
Quality:
Reference:
picha yako basi kama utojari
your photo then
Last Update: 2023-12-18
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
akasema: kilete basi, kama wewe ni katika wasemao kweli.
pharaoh said: "then bring it if you are truthful at all."
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
Warning: Contains invisible HTML formatting
kwa hiyo basi, kama tunacho chakula na mavazi, tunapaswa kuridhika navyo.
and having food and raiment let us be therewith content.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
basi, kama vile mwili bila roho umekufa, vivyo hivyo imani bila matendo imekufa.
for as the body without the spirit is dead, so faith without works is dead also.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
basi, kama vile kila mtu hufa mara moja tu, kisha husimama mbele ya hukumu ya mungu,
and as it is appointed unto men once to die, but after this the judgment:
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
basi, kama hamwezi kufanya jambo dogo kama hilo, kwa nini kuwa na wasiwasi juu ya yale mengine?
if ye then be not able to do that thing which is least, why take ye thought for the rest?
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
kwa hiyo, basi, kama asemavyo roho mtakatifu: "kama mkisikia sauti ya mungu leo,
wherefore (as the holy ghost saith, to day if ye will hear his voice,
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
Warning: Contains invisible HTML formatting
kisha, wale wema watang'ara kama jua katika ufalme wa baba yao. sikieni basi, kama mna masikio!
then shall the righteous shine forth as the sun in the kingdom of their father. who hath ears to hear, let him hear.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
basi, kama mungu amewapa pia watu wa mataifa mengine zawadi ileile aliyotupa sisi tulipomwamini bwana yesu kristo, je, mimi ni nani hata nijaribu kumpinga mungu?"
forasmuch then as god gave them the like gift as he did unto us, who believed on the lord jesus christ; what was i, that i could withstand god?
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
Warning: Contains invisible HTML formatting
basi, kama yasemavyo maandiko matakatifu: "mwenye kutaka kujivuna, basi, na ajivunie kazi ya bwana."
that, according as it is written, he that glorieth, let him glory in the lord.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
Warning: Contains invisible HTML formatting
basi, kama mtu atajitakasa kwa kujitenga mbali na mambo hayo yote maovu, atakuwa chombo cha matumizi ya pekee, kwa sababu amewekwa wakfu, anamfaa bwana wake na yupo tayari kwa kila kazi njema.
if a man therefore purge himself from these, he shall be a vessel unto honour, sanctified, and meet for the master's use, and prepared unto every good work.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
na ikiwa ni makubwa kwako huku kukataa kwao, basi kama unaweza kutafuta njia ya chini kwa chini ya ardhi, au ngazi kwendea mbinguni ili uwaletee ishara -- na lau kuwa mwenyezi mungu angependa angeli wakusanya kwenye uwongofu.
(muhammad), if their refusal of the faith is so grievous to you and if you can dig up the earth or ascend into the sky in search of further evidence to inevitably make them believe you, you should have done so, but note that had god wanted, he could have made them all follow the same guidance.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
na ikiwa ni makubwa kwako huku kukataa kwao, basi kama unaweza kutafuta njia ya chini kwa chini ya ardhi, au ngazi kwendea mbinguni ili uwaletee ishara -- na lau kuwa mwenyezi mungu angependa angeli wakusanya kwenye uwongofu. basi usiwe miongoni mwa wasio jua.
and if their aversion is grievous unto thee, then, if thou canst, seek a way down into the earth or a ladder unto the sky that thou mayst bring unto them a portent (to convince them all)! - if allah willed, he could have brought them all together to the guidance - so be not thou among the foolish ones.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference: