From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
furaha sabato
happy sabbath
Last Update: 2022-04-16
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
maandalizi ya sabato
maandalizi mama ya sabato
Last Update: 2022-08-19
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
sabato njema kwa wote
happy sabbath day in advance
Last Update: 2021-03-26
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
yesu alikuwa akifundisha katika sunagogi moja siku ya sabato.
and he was teaching in one of the synagogues on the sabbath.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
hivyo akawaambia, "mwana wa mtu ni bwana wa sabato."
and he said unto them, that the son of man is lord also of the sabbath.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
Warning: Contains invisible HTML formatting
siku hiyo ilikuwa ijumaa, na maandalio ya siku ya sabato yalikuwa yanaanza.
and that day was the preparation, and the sabbath drew on.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
kila sabato alifanya majadiliano katika sunagogi akijaribu kuwavuta wayahudi na wagiriki.
and he reasoned in the synagogue every sabbath, and persuaded the jews and the greeks.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
siku ya sabato iliyofuata, karibu kila mtu katika ule mji alikuja kusikiliza neno la bwana.
and the next sabbath day came almost the whole city together to hear the word of god.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
hakika siku ya sabato (jumaamosi) waliwekewa wale walio khitalifiana kwa ajili yake.
(the observance) of the sabbath was only sanctioned for those who disputed it.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
paulo alijiunga nao kama ilivyokuwa desturi yake akajadiliana nao sabato tatu mfululizo, akatumia maandiko matakatifu.
and paul, as his manner was, went in unto them, and three sabbath days reasoned with them out of the scriptures,
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
wakafika mjini kafarnaumu, na mara ilipofika sabato, yesu akaingia katika sunagogi, akaanza kufundisha.
and they went into capernaum; and straightway on the sabbath day he entered into the synagogue, and taught.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
na waulize khabari za mji ulio kuwa kando ya bahari, wakiivunja sabato (jumaamosi ya mapumziko).
(muhammad), ask them about the (people of the) towns on the seashore.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
na tukawaambia: msiivunje siku ya sabato (jumaa mosi). na tukachukua kwao ahadi iliyo madhubuti.
and we said to them: 'do not violate the law of the sabbath', and took from them a firm covenant.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
mafarisayo wakawaambia, "tazama! kwa nini wanafanya jambo ambalo si halali kufanya wakati wa sabato?"
and the pharisees said unto him, behold, why do they on the sabbath day that which is not lawful?
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
Warning: Contains invisible HTML formatting
siku moja ya sabato, yesu alikuwa anapita katika mashamba ya ngano. walipokuwa wanatembea, wanafunzi wake wakaanza kukwanyua masuke ya ngano.
and it came to pass, that he went through the corn fields on the sabbath day; and his disciples began, as they went, to pluck the ears of corn.
Last Update: 2024-04-14
Usage Frequency: 2
Quality:
Reference:
kwa hiyo, basi, msikubali kupewa masharti na mtu yeyote kuhusu vyakula au vinywaji, siku za sherehe, sikukuu ya mwezi mpya au sabato.
let no man therefore judge you in meat, or in drink, or in respect of an holyday, or of the new moon, or of the sabbath days:
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
siku moja ya sabato, yesu alikuwa anapita katika mashamba ya ngano, na wanafunzi wake wakaanza kukwanyua masuke ya ngano, wakaondoa punje zake kwa mikono, wakala.
and it came to pass on the second sabbath after the first, that he went through the corn fields; and his disciples plucked the ears of corn, and did eat, rubbing them in their hands.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
lakini yesu akawaambia, "tuseme mmoja wenu ana kondoo wake ambaye ametumbukia shimoni; je, hatamshika na kumtoa humo siku ya sabato?
and he said unto them, what man shall there be among you, that shall have one sheep, and if it fall into a pit on the sabbath day, will he not lay hold on it, and lift it out?
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
Warning: Contains invisible HTML formatting
aminini tuliyo yateremsha yenye kusadikisha yale mliyo nayo, kabla hatujazigeuza nyuso tukazipeleka kisogoni, au tukawalaani kama tulivyo walaani watu wa sabato (jumaamosi).
believe in what we have revealed (to muhammad saw) confirming what is (already) with you, before we efface faces (by making them like the back of necks; without nose, mouth, eyes, etc.) and turn them hindwards, or curse them as we cursed the sabbath-breakers.
Last Update: 2014-07-03
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference: