From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
timotheo akija, angalieni asiwe na hofu yoyote wakati yupo kati yenu, kwani anafanya kazi ya bwana kama mimi.
now if timotheus come, see that he may be with you without fear: for he worketh the work of the lord, as i also do.
napenda kuwajulisheni kwamba ndugu yetu timotheo amekwisha funguliwa gerezani. kama akifika hapa mapema, nitakuja naye nitakapokuja kwenu.
know ye that our brother timothy is set at liberty; with whom, if he come shortly, i will see you.
mimi paulo, mfungwa kwa ajili ya kristo yesu, na ndugu timotheo, ninakuandikia wewe filemoni mpendwa, mfanyakazi mwenzetu
paul, a prisoner of jesus christ, and timothy our brother, unto philemon our dearly beloved, and fellowlabourer,
hivyo, aliwatuma wawili wa wasaidizi wake, timotheo na erasto, wamtangulie kwenda makedonia, naye akabaki kwa muda huko asia.
so he sent into macedonia two of them that ministered unto him, timotheus and erastus; but he himself stayed in asia for a season.
mwanangu timotheo, nakukabidhi amri hii kufuatana na maneno ya unabii yaliyosemwa zamani juu yako. yatumie maneno hayo yawe silaha yako katika kupigana vita vizuri,
this charge i commit unto thee, son timothy, according to the prophecies which went before on thee, that thou by them mightest war a good warfare;
na kumtuma kwenu ndugu yetu timotheo, ambaye ni mfanyakazi mwenzetu kwa ajili ya mungu katika kuhubiri habari njema ya kristo. tulimtuma ili awaimarisheni na kuwafarijini,
and sent timotheus, our brother, and minister of god, and our fellowlabourer in the gospel of christ, to establish you, and to comfort you concerning your faith:
sasa timotheo amekwisha rudi, naye ametupa habari za kufurahisha kuhusu imani na upendo wenu. ametuarifu kwamba mnatukumbuka daima, na kwamba mna hamu ya kutuona sisi kama nasi tulivyo na hamu ya kuwaoneni.
but now when timotheus came from you unto us, and brought us good tidings of your faith and charity, and that ye have good remembrance of us always, desiring greatly to see us, as we also to see you:
mimi paulo, mtume wa kristo yesu kwa mapenzi ya mungu, na ndugu timotheo, tunawaandikia ninyi mlio kanisa la mungu huko korintho, na watu wote wa mungu kila mahali katika akaya.
paul, an apostle of jesus christ by the will of god, and timothy our brother, unto the church of god which is at corinth, with all the saints which are in all achaia:
timotheo, tunza salama yote yale uliyokabidhiwa. jiepushe na majadiliano ya kidunia na ubishi wa kipumbavu juu ya kile wanachokiita watu wengine: "elimu".
o timothy, keep that which is committed to thy trust, avoiding profane and vain babblings, and oppositions of science falsely so called:
maana kristo yesu, mwana wa mungu, ambaye mimi, silwano na timotheo, tulimhubiri kwenu, hakuwa mtu wa "ndiyo" na "siyo"; bali yeye daima ni "ndiyo" ya mungu.
for the son of god, jesus christ, who was preached among you by us, even by me and silvanus and timotheus, was not yea and nay, but in him was yea.