Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
kwa vile hili ndilo tumaini letu, sisi twasema kwa uhodari mkuu.
seeing then that we have such hope, we use great plainness of speech:
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
kwa maana aliendelea kwa uhodari kuwashinda wayahudi hadharani akithibitisha kwa maandiko matakatifu kuwa yesu ni kristo.
for he mightily convinced the jews, and that publickly, shewing by the scriptures that jesus was christ.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
lakini sasa, ee bwana, angalia vitisho vyao. utuwezeshe sisi watumishi wako kuhubiri neno lako kwa uhodari.
and now, lord, behold their threatenings: and grant unto thy servants, that with all boldness they may speak thy word,
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
priskila na akula walipomsikia akiongea kwa uhodari ndani ya sunagogi, walimchukua kwao wakamfundisha hiyo njia ya mungu kwa usahihi zaidi.
and he began to speak boldly in the synagogue: whom when aquila and priscilla had heard, they took him unto them, and expounded unto him the way of god more perfectly.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
basi, katika kuungana na kristo, na kwa njia ya imani katika kristo, sisi tunathubutu kumkaribia mungu kwa uhodari.
in whom we have boldness and access with confidence by the faith of him.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
kwa sababu hiyo, ningeweza, kwa uhodari kabisa, nikiwa ndugu yako katika kristo, kukuamuru ufanye unachopaswa kufanya.
wherefore, though i might be much bold in christ to enjoin thee that which is convenient,
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
lakini kristo ni mwaminifu kama mwana mwenye mamlaka juu ya nyumba ya mungu. sisi ni nyumba yake kama tukizingatia uhodari wetu na uthabiti wetu katika kile tunachotumainia.
but christ as a son over his own house; whose house are we, if we hold fast the confidence and the rejoicing of the hope firm unto the end.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
mnajua jinsi tulivyodhulumiwa na kutukanwa kule filipi kabla ya kufika kwenu thesalonike. ingawa kulikuwa na upinzani mwingi, mungu wetu alitujalia uhodari wa kuwahubirieni habari njema yake.
but even after that we had suffered before, and were shamefully entreated, as ye know, at philippi, we were bold in our god to speak unto you the gospel of god with much contention.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
kule ikonio, mambo yalikuwa kama yalivyokuwa kule antiokia; paulo na barnaba walikwenda katika sunagogi la wayahudi wakaongea kwa uhodari hata wayahudi wengi na wagiriki wakawa waumini.
and it came to pass in iconium, that they went both together into the synagogue of the jews, and so spake, that a great multitude both of the jews and also of the greeks believed.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
hao wazee wa baraza, wakiwa wanajua kwamba petro na yohane walikuwa watu wasio na kisomo wala elimu yoyote, walishangaa juu ya jinsi walivyosema kwa uhodari. wakatambua kwamba walikuwa wamejiunga na yesu.
now when they saw the boldness of peter and john, and perceived that they were unlearned and ignorant men, they marvelled; and they took knowledge of them, that they had been with jesus.
Last Update: 2024-04-30
Usage Frequency: 11
Quality:
hata hivyo, paulo na barnaba waliongea kwa uhodari zaidi, wakasema, "ilikuwa ni lazima neno la mungu liwafikieni ninyi kwanza; lakini kwa kuwa mmelikataa na kujiona hamstahili uzima wa milele, basi, tunawaacheni na kuwaendea watu wa mataifa mengine.
then paul and barnabas waxed bold, and said, it was necessary that the word of god should first have been spoken to you: but seeing ye put it from you, and judge yourselves unworthy of everlasting life, lo, we turn to the gentiles.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting