From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
mnapokwenda hubirini hivi: ufalme wa mbinguni umekaribia.
and as ye go, preach, saying, the kingdom of heaven is at hand.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
ponyeni wagonjwa walioko huko, waambieni watu: ufalme wa mungu umekaribia kwenu.
and heal the sick that are therein, and say unto them, the kingdom of god is come nigh unto you.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
vivyo hivyo, mtakapoona mambo hayo yanatendeka, mtatambua kwamba ufalme wa mungu umekaribia.
so likewise ye, when ye see these things come to pass, know ye that the kingdom of god is nigh at hand.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
mwisho wa vitu vyote umekaribia. kwa hiyo mnapaswa kuwa na utaratibu na nidhamu, ili mweze kusali.
but the end of all things is at hand: be ye therefore sober, and watch unto prayer.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
basi, waliwatia nguvuni na kwa kuwa usiku ulikuwa umekaribia, wakawaweka chini ya ulinzi mpaka kesho yake.
and they laid hands on them, and put them in hold unto the next day: for it was now eventide.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
tangu wakati huo yesu alianza kuhubiri akisema, "tubuni, maana ufalme wa mbinguni umekaribia!"
from that time jesus began to preach, and to say, repent: for the kingdom of heaven is at hand.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
wakati mambo hayo yatakapoanza kutukia, simameni na kuinua vichwa vyenu juu, kwa maana ukombozi wenu umekaribia."
and when these things begin to come to pass, then look up, and lift up your heads; for your redemption draweth nigh.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
hata mavumbi ya mji wenu yaliyoshikamana na miguu yetu tunawakung'utieni. lakini, jueni kwamba ufalme wa mungu umekaribia.
even the very dust of your city, which cleaveth on us, we do wipe off against you: notwithstanding be ye sure of this, that the kingdom of god is come nigh unto you.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
"kwa mtini jifunzeni mfano huu: mara tu matawi yake yanapoanza kuwa laini na kuchanua majani, mnajua kwamba wakati wa kiangazi umekaribia.
now learn a parable of the fig tree; when her branch is yet tender, and putteth forth leaves, ye know that summer is near:
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
yesu akawajibu, "jihadharini, msije mkadanganyika. maana wengi watatokea na kulitumia jina langu wakisema: mimi ndiye, na, wakati ule umekaribia. lakini ninyi msiwafuate!
and he said, take heed that ye be not deceived: for many shall come in my name, saying, i am christ; and the time draweth near: go ye not therefore after them.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting