Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From: Machine Translation
Suggest a better translation
Quality:
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
watu hawa waliopotoshwa wana wazazi ambao ni waaminifu, waumini wa kweli wa dini wanaowalaumu watoto wao kwa vitendo vyao.
all these misguided men have parents who are honest, deeply religious people who sincerely condemn their sons’ actions.
idadi kadhaa ya familia za watu waliocahanganyika kiasili na wa dini tofauti wanasimulia kuhusu uzoefu wao kupitia ulimwengu wa blogu.
a number of mixed race and religion families are sharing their experiences in the blogosphere.
bangladeshi inaongozwa na utawala wa kidemokrasia usiofungamana na dini yoyote, kwa hiyo hakuna sheria ya sharia wala sheria ya ukashifuji wa dini.
bangladesh is a non-religious parliamentary democracy, so there is no sharia law or blasphemy law.
@sultanalqassemi: ufalme wawashukuru & kuwasifu viongozi wa dini ya kiislamu kwa zaidi ya dakika moja #saudi
@sultanalqassemi: the royal thanks & praise to the islamic clerics took more than one minute #saudi
kwa maoni ya mwanahabari hilath rasheed, huenda nchi ya maldivi ikashindwa kuegamisha uhuru wa dini katika miaka 50 ijayo, hadi kubadilika kwa mawazo ya vizazi vipya vya wamaldivi.
journalist hilath rasheed notes that maldives perhaps will not be able to establish freedom of religion in the next 50 years until the mindset changes among the new generations of maldivians.
na katika mwaka 2006 wakati taasisi ya pew ilipokuwa inakusanya maoni juu ya silika au tabia za waislamu, ufaransa ndiyo ilikuwa nchi pekee kubwa ya ulaya ambako karibu nusu ya waislamu wote walijihisi kuwa wananchi wa nchi hiyo kabla ya kuwa waumini wa dini yao.
and in a 2006 pew poll of muslim attitudes, france was the only major european country where nearly half of muslims felt they were citizens of their country before being members of their faith.
@sultanalqassemi: mfalme wa saudi arabia awashukuru viongozi wa dini, waandishi & wizara ya mambo ya ndani kwa juhudi zao za kuulinda ufalme.
@sultanalqassemi: saudi king thanks the clerics, writers & the ministry of interior forces for their efforts in defending the kingdom.
hotuba hiyo ilikuja baada ya miito, maandamano madogo kudai mageuzi katika falme hiyo, ambapo viongozi wa dini hapo wali waliwaasa wasaudia kutodandia wimbi la maandamano ya upinzani linaloikumba kanda hiyo kwani maandamanio ya namna hiyo ndani ya saudi arabia ni kinyume na dini.
the speech comes following calls, and small protests, for reforms in the kingdom, where clergymen earlier urged saudis not to ride the protest wave engulfing the region as such protests in saudi arabia were against religion.
binafsi, sikuwahi kuelewa ni kwa nini wafuasi wengi wa dini yangu wako radhi sana kuuwa au kuwajeruhi hadi kuwaachia ulemavu wa kudumu wale ‘wanaokashifu’ uislamu, nabii muhammad au kurani.
personally, i've never quite understood why so many of my co-religionists are so keen to kill or maim those who 'insult' islam, prophet muhammad or the quran.
baadhi ya vyombo vya habari, zikiwemo blogu maarufu za mrengo wa kulia, zimediriki hata kusambaza maneno kuwa wanablogu wote ni wapagani ambao “wamekuwa wakipotosha imani” ya waumini wa dini nchini bangladesh.
some media outlets, including prominent right-wing blogs, have even propagated the idea that all bloggers are atheists who “hurt the feelings” of religious bangladeshis.