From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
vifungu vya sheria vya katiba vipo wazi kabisa kuhusiana na suala la kuahirishwa kwa chaguzi.
adaure achumba, the west africa correspondent for arisetv, disagrees:
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
serikali zenye vifungu vya demokrasia haziwezi kumudu kuwa na ujanja wa kuratibu vinavyokuwepo kwenye mtandao kwa muda mrefu.
governments with democratic trappings cannot afford to censor the online media for an extended period.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
bado haijafahamika sawasawa ni kiasi gani mafanikio ya chama cha united russia yametokana na wizi wa kura na tuhuma za vitendo visivyokubalika.
it remains unclear how much of united russia’s success is due to fraud and other illegal actions.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
baada ya kuzuiwa kwa takribani siku nzima, polisi waliwahukumu kwa kutumia vifungu tofauti tofauti vya sheria ya marekebisho ya makosa ya jinai.
after a daylong detention, the police charged them under different sections of criminal law amendment act.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
1. @nigeria_law vifungu vya sheria vya katiba vipo wazi kabisa kuhusiana na suala la kuahirishwa kwa chaguzi.
1. @nigeria_law the provision of the constitution is very clear on the postponement of the elections.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
kwa mfano, waandishi wa habari wa kujitegemea wanaendelea kuwa katika hali ya hatari ya kukumbwa na vifungu mbalimbali vya sheria kama wataweka bayana hali ya sintofahamu katika uongozi au kuwakosoa viongozi wa ngazi za juu serikalini.
for example, independent reporters continue to face a high risk of being slapped with various lawsuits if they expose controversies in the bureaucracy or criticize high ranking government officials.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
jarida la the new england linaripoti kuwa ukosefu wa kuosha mikono unasalia katika viwango visivyokubalika katika mazingira mengi ya kimatibabu, huku idadi kubwa ya madaktari na wauguzi wakisahau kila mara kuosha mikono yao kabla ya kuwagusa wagonjwa na hivyo kusambaza viini.
the new england journal of medicine reports that a lack of hand-washing remains at unacceptable levels in most medical environments, with large numbers of doctors and nurses routinely forgetting to wash their hands before touching patients, thus transmitting microorganisms.
Last Update: 2020-08-25
Usage Frequency: 1
Quality:
uchaguzi ulipangwa kufanyika machi 28 ni ukiukwaji wa wazi kabisa wa vifungu vya sheria vilivyomo kwenye katiba ya nigeria. @nigeria_law #nigeriadecides — alexander osondu (@movinglaw) february 11, 2015
the election slated for march 28 is in flagrant breach of the provisions of the constitution of nigeria. @nigeria_law #nigeriadecides — alexander osondu (@movinglaw) february 11, 2015
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
Some human translations with low relevance have been hidden.
Show low-relevance results.