From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
ninyi mmekwisha kuwa safi kwa sababu ya ule ujumbe niliowaambieni.
now ye are clean through the word which i have spoken unto you.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
hakuna mtu awezaye kuweka msingi mwingine badala ya ule uliokwisha wekwa, yaani yesu kristo.
for other foundation can no man lay than that is laid, which is jesus christ.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
ninyi mnajua jambo lililotukia katika nchi yote ya wayahudi kuanzia galilaya baada ya ule ubatizo aliohubiri yohane.
that word, i say, ye know, which was published throughout all judaea, and began from galilee, after the baptism which john preached;
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
tena, sisi wenyewe tulisikia sauti hiyo kutoka mbinguni wakati tulipokuwa pamoja naye juu ya ule mlima mtakatifu.
and this voice which came from heaven we heard, when we were with him in the holy mount.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
basi, mitume wakatoka nje ya ule mkutano wa halmashauri wakiwa wamejaa furaha, kwani walistahili kuaibishwa kwa ajili ya jina la yesu.
and they departed from the presence of the council, rejoicing that they were counted worthy to suffer shame for his name.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
ninapokisoma kitabu kilicho kwenye mfumo wa kidijitali, uzoefu wa kitamaduni ninaoupata unakuwa pungufu ya ule ninaoupata nikiwa nakisoma kitabu kwenye karatasi?
when i read a digital book, is the cultural experience lesser than when a read the book on paper?
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
hata kama nimezidi katika kujivuna kwangu juu ya ule uwezo aliotupa--uwezo wa kuwajenga na sio wa kubomoa--hata hivyo sijutii hata kidogo.
for though i should boast somewhat more of our authority, which the lord hath given us for edification, and not for your destruction, i should not be ashamed:
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
kama hapatakuwa na matatizo, udhihirishaji huu wa kupenda kupata mitazamo ya waafrika huenda utapandisha umaarufu wa obama duniani, ambao tayari ni kama mara mbili ya ule wa marekani yenyewe.
with no glitches, this demonstration of interest in the views of africans will probably boost obama's global approval ratings, which already are almost double those of the united states.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
ndugu wapenzi, wakati nimo katika jitihada ya kuwaandikieni juu ya ule wokovu tunaoshiriki sote, nimeona lazima ya kuwaandikieni na kuwahimizeni mwendelee kupigana kwa ajili ya imani ambayo mungu amewajalia watu wake mara moja tu kwa wakati wote.
beloved, when i gave all diligence to write unto you of the common salvation, it was needful for me to write unto you, and exhort you that ye should earnestly contend for the faith which was once delivered unto the saints.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
angalau wanafunzi 520,000 na familia zao wanaweza kuathirika na ukosefu wa chakula cha kutosha kutokana na kufungwa kwa shule.mipango ya chakula shuleni ni mpango wa pili kwa ukubwa baada ya ule wa msaada wa chakula katika kupambana na njaa nchini marekani.
at least 520,000 students and their families may be affected by food insecurity as a result of school closures.school lunch programmes are the second-biggest anti-hunger initiative in the united states after food stamps.
Last Update: 2020-08-25
Usage Frequency: 1
Quality:
mpaka hapo tutakaupotambua ugaidi ulioasisiwa ndani ya nchi kwa jinsi ulivyo – na si pungufu ya ule ulioletwa kutoka nje ya nchi – na mpaka pale tutakaposimama dhidi ya ugaidi wa ain azote, hatutaweza kuushinda ugaidi.
until we recognize homegrown terror for what it is — no less than anything from abroad — and until we stand against every kind of terror, we will never defeat terrorism.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
kumekuwepo na malalamiko mengi, shutuma na hata katika nyakati nyingine, vita vikali vya maneno kurindima kati ya upande wa wanablogu dhidi ya ule wa vyombo vikuu vya habari hasa kuhusiana na matukio ya kugushi habari,kitendo ambacho kinakiuka suala la hakimiliki na kutokiri chanzovitendo vinavyofanywa na vyombo vikuu vya habari na hasa katika taathira ya kublogu katika uzalishaji habari na utangazwaji wake kwa umma na makala mbalimbali nchini kenya.
there have been numerous complaints, accusations and in some instances, outright battle of words simmering between the blogger community and the mainstream media with cases of plagiarism, copyright infringement and a general lack of appreciation by the mainstream media on the impact that blogging has had in generation and delivery of news and information content in kenya.
Last Update: 2016-02-24
Usage Frequency: 1
Quality:
Some human translations with low relevance have been hidden.
Show low-relevance results.