From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
basi, wakafika yeriko, naye yesu alipokuwa anatoka katika mji huo akiwa na wanafunzi wake pamoja na umati mkubwa wa watu, kipofu mwombaji aitwaye bartimayo mwana wa timayo alikuwa ameketi kando ya barabara.
and they came to jericho: and as he went out of jericho with his disciples and a great number of people, blind bartimaeus, the son of timaeus, sat by the highway side begging.
yesu akamjibu, "mtu mmoja alikuwa anashuka kutoka yerusalemu kwenda yeriko. alipokuwa njiani, alivamiwa na majambazi, wakamnyang'anya mali yake na kumpiga, wakamwacha amelala pale nusu mfu.
and jesus answering said, a certain man went down from jerusalem to jericho, and fell among thieves, which stripped him of his raiment, and wounded him, and departed, leaving him half dead.