Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
sifa zimuua yuda
think before you act
Last Update: 2021-11-16
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
simba wa yuda katika biblia
the lion of juda in the bible
Last Update: 2022-04-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
yuda iskarioti ambaye alimsaliti yesu.
and judas iscariot, which also betrayed him: and they went into an house.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
simoni mkanaani, na yuda iskarioti ambaye alimsaliti yesu.
simon the canaanite, and judas iscariot, who also betrayed him.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
na tangu wakati huo yuda akawa anatafuta nafasi ya kumsaliti.
and from that time he sought opportunity to betray him.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
yuda akaenda akajadiliana na makuhani wakuu na walinzi wa hekalu kuhusu atakavyomsaliti yesu kwao.
and he went his way, and communed with the chief priests and captains, how he might betray him unto them.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
kwa hiyo, tunawatuma yuda na sila kwenu; hawa watawaambieni wao wenyewe haya tuliyoandika.
we have sent therefore judas and silas, who shall also tell you the same things by mouth.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
yuda akakubali, na akawa anatafuta nafasi nzuri ya kumkabidhi kwao bila umati wa watu kujua.
and he promised, and sought opportunity to betray him unto them in the absence of the multitude.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
siku kadhaa baadaye, maria alifunga safari akaenda kwa haraka hadi mji mmoja ulioko katika milima ya yuda.
and mary arose in those days, and went into the hill country with haste, into a city of juda;
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
lakini yesu akamwambia, "yuda! je, unamsaliti mwana wa mtu kwa kumbusu?"
but jesus said unto him, judas, betrayest thou the son of man with a kiss?
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
Warning: Contains invisible HTML formatting
mwana wa maathi, mwana wa matathia, mwana wa shemeni, mwana wa yoseki, mwana wa yuda,
which was the son of maath, which was the son of mattathias, which was the son of semei, which was the son of joseph, which was the son of juda,
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
makuhani wakuu waliposikia habari hiyo, walifurahi, wakaahidi kumpa fedha. basi, yuda akaanza kutafuta nafasi ya kumsaliti yesu.
and when they heard it, they were glad, and promised to give him money. and he sought how he might conveniently betray him.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
basi, yuda alichukua kikosi cha askari na walinzi kutoka kwa makuhani wakuu na mafarisayo, akaja nao bustanini wakiwa na taa, mienge na silaha.
judas then, having received a band of men and officers from the chief priests and pharisees, cometh thither with lanterns and torches and weapons.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
lakini mungu aliwalaumu watu wake aliposema: "siku zinakuja, asema bwana, ambapo nitafanya agano jipya na watu wa israeli na kabila la yuda.
for finding fault with them, he saith, behold, the days come, saith the lord, when i will make a new covenant with the house of israel and with the house of judah:
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Reference:
Warning: Contains invisible HTML formatting