From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
hofu ikawaingia jirani wote, na habari hizo zikaenea kila mahali katika milima ya yudea.
and fear came on all that dwelt round about them: and all these sayings were noised abroad throughout all the hill country of judaea.
wale wanafunzi waliamua kila mmoja kwa kadiri ya uwezo wake apeleke chochote ili kuwasaidia wale ndugu waliokuwa wanaishi yudea.
then the disciples, every man according to his ability, determined to send relief unto the brethren which dwelt in judaea:
baada ya hayo, yesu alifika mkoani yudea pamoja na wanafunzi wake. alikaa huko pamoja nao kwa muda, akibatiza watu.
after these things came jesus and his disciples into the land of judaea; and there he tarried with them, and baptized.
nilikusudia kupita kwenu nikiwa safarini kwenda makedonia, na wakati wa kurudi pia, ili nipate msaada wenu kwa safari yangu kwenda yudea.
and to pass by you into macedonia, and to come again out of macedonia unto you, and of you to be brought on my way toward judaea.
baadhi yetu ni waparthi, wamedi na waelami; wengine ni wenyeji wa mesopotamia, yudea, kapadokia, ponto na asia,
parthians, and medes, and elamites, and the dwellers in mesopotamia, and in judaea, and cappadocia, in pontus, and asia,
yesu alitoka hapo akaenda mkoani yudea na hata ng'ambo ya mto yordani. umati wa watu ukamwendea tena, naye akawafundisha tena kama ilivyokuwa desturi yake.
and he arose from thence, and cometh into the coasts of judaea by the farther side of jordan: and the people resort unto him again; and, as he was wont, he taught them again.
herode aliamuru ufanywe msako lakini hawakuweza kumpata. hivyo aliamuru wale askari wahojiwe, akatoa amri wauawe. halafu akatoka huko yudea akaenda kaisarea ambako alikaa.
and when herod had sought for him, and found him not, he examined the keepers, and commanded that they should be put to death. and he went down from judaea to caesarea, and there abode.
lakini yosefu aliposikia kwamba arkelao mwanawe herode alikuwa mfalme wa yudea mahali pa baba yake, aliogopa kwenda huko. naye baada ya kuonywa katika ndoto, alikwenda katika mkoa wa galilaya,
but when he heard that archelaus did reign in judaea in the room of his father herod, he was afraid to go thither: notwithstanding, being warned of god in a dream, he turned aside into the parts of galilee:
lakini wakati roho mtakatifu atakapowashukieni ninyi, mtajazwa nguvu na mtakuwa mashahidi wangu katika yerusalemu, katika nchi yote ya yudea na samaria, na hata miisho ya dunia."
but ye shall receive power, after that the holy ghost is come upon you: and ye shall be witnesses unto me both in jerusalem, and in all judaea, and in samaria, and unto the uttermost part of the earth.
siku moja yesu alikuwa akifundisha. mafarisayo na walimu wa sheria kutoka katika kila kijiji cha galilaya, yudea na yerusalemu, walikuwa wameketi hapo. nguvu ya bwana ilikuwa pamoja naye kwa ajili ya kuponyea wagonjwa.
and it came to pass on a certain day, as he was teaching, that there were pharisees and doctors of the law sitting by, which were come out of every town of galilee, and judaea, and jerusalem: and the power of the lord was present to heal them.