Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
kisha, akaziangazia akili zao ili wapate kuelewa maandiko matakatifu.
tiam li malfermis ilian menson, por ke ili komprenu la skribojn;
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
lakini yatatimiaje maandiko matakatifu yasemayo kwamba ndivyo inavyopaswa kuwa?"
sed kiel plenumigxus la skriboj, ke tiel devas okazi?
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
akawafafanulia mambo yote yaliyomhusu yeye katika maandiko matakatifu kuanzia mose hadi manabii wote.
kaj komencante de moseo kaj de cxiuj profetoj, li klarigis al ili el cxiuj skriboj la dirojn pri li mem.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
jambo hili ni sawa kabisa na maneno ya manabii, kama maandiko matakatifu yasemavyo:
kaj al tio konsentas la vortoj de la profetoj, kiel estas skribite:
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
kama maandiko matakatifu yasemavyo: "yakobo nilimpenda, lakini esau nilimchukia."
kiel estas skribite:mi ekamis jakobon, sed esavon mi malamis.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
paulo alijiunga nao kama ilivyokuwa desturi yake akajadiliana nao sabato tatu mfululizo, akatumia maandiko matakatifu.
kaj laux sia kutimo pauxlo eniris al ili, kaj dum tri sabatoj li rezonadis kun ili el la skriboj,
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
(walikuwa bado hawajaelewa maandiko matakatifu yaliyosema kwamba ilikuwa lazima afufuke kutoka wafu).
cxar ili ankoraux ne komprenis la skribon, ke li devas relevigxi el la mortintoj.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
mungu aliwaita miungu wale waliopewa neno lake; nasi twajua kwamba maandiko matakatifu yasema ukweli daima.
se li nomis dioj tiujn, al kiuj venis la vorto de dio (kaj la skribo ne povas esti nuligita),
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
jambo hilo lilitendwa ili maandiko matakatifu yatimie: "hapana hata mfupa wake mmoja utakaovunjwa."
cxar tio okazis, por ke plenumigxu la skribo:osto en li ne estos rompita.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
maana yote yalioandikwa yameandikwa kwa ajili ya kutufundisha sisi ili kutokana na saburi na faraja tupewayo na maandiko hayo matakatifu tupate kuwa na matumaini.
cxar cxio, kio estas antauxe skribita, estas skribita por nia instruado, por ke per pacienco kaj per konsolo de la skriboj ni havu esperon.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
yesu akawajibu, "je, hamkusoma katika maandiko matakatifu kwamba mungu aliyemuumba mtu tangu mwanzo alimfanya mwanamume na mwanamke,
kaj responde li diris:cxu vi ne legis, ke en la komenco la kreinto faris ilin vira kaj virina,
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
mimi niliwakabidhi ninyi mambo muhimu sana ambayo mimi niliyapokea: kwamba kristo alikufa kwa ajili ya dhambi zetu kufuatana na maandiko matakatifu;
cxar mi transdonis al vi komence tion, kion mi ankaux ricevis, ke kristo mortis pro niaj pekoj laux la skriboj;
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
myahudi mmoja aitwaye apolo, mzaliwa wa aleksandria, alifika efeso. alikuwa mtu mwenye ufasaha wa kuongea na mwenye ujuzi mkubwa wa maandiko matakatifu.
kaj unu judo, nomata apolos, aleksandriano laux gento, viro klera, venis al efeso; kaj li estis potenca en la skriboj.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
na watu watahubirije kama hawakutumwa? kama yasemavyo maandiko matakatifu: "ni jambo la kupendeza mno kuja kwa wale wanaohubiri habari njema!"
kaj kiel oni predikos, se ili ne estos senditaj? kiel estas skribite:kiel cxarmaj estas la piedoj de la anoncantoj de la evangelio de bono!
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
maandiko matakatifu yesema hivi, "ujumbe huo wa mungu uko karibu nawe, uko kinywani mwako na moyoni mwako" nao ndio ile imani tunayoihubiri.
sed kion gxi diras? la afero estas proksime de vi, en via busxo kaj en via koro; tio estas, la vorto de fido, kiun ni predikas;
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
basi, yesu alikwenda nazareti, mahali alipolelewa, na siku ya sabato, aliingia katika sunagogi, kama ilivyokuwa desturi yake. akasimama ili asome maandiko matakatifu kwa sauti.
kaj li venis al nazaret, kie li estis edukita; kaj laux sia kutimo li eniris en la sinagogon en la sabata tago, kaj starigxis, por legi.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
kama mnaitimiza ile sheria ya utawala kama ilivyoandikwa katika maandiko matakatifu: "mpende binadamu mwenzako kama unavyojipenda wewe mwenyewe", mtakuwa mnafanya vema kabisa.
tamen, se vi plenumas la regxan legxon laux la skribo:amu vian proksimulon kiel vin mem-vi faras bone;
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
lakini, kwamba kuna kufufuka kutoka wafu, hata mose alithibitisha jambo hilo katika maandiko matakatifu. katika sehemu ya maandiko matakatifu juu ya kile kichaka kilichokuwa kinawaka moto, anamtaja bwana kama mungu wa abrahamu, isaka na yakobo.
sed ke la mortintoj levigxas, moseo mem montris en la arbetajxo, kiam li nomis la eternulon la dio de abraham kaj la dio de isaak kaj la dio de jakob.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
akawaambia, "imeandikwa katika maandiko matakatifu: nyumba yangu itaitwa nyumba ya sala. lakini ninyi mmeifanya kuwa pango la wanyang'anyi."
kaj li diris al ili:estas skribite:mia domo estas nomata domo de pregxo; sed vi faris gxin kaverno de rabistoj.
Last Update: 2012-05-06
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting