From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
lakini hakupatikana mtu yeyote mbinguni, wala duniani, wala chini kuzimu, aliyeweza kukifungua hicho kitabu au kukitazama ndani.
et personne dans le ciel, ni sur la terre, ni sous la terre, ne put ouvrir le livre ni le regarder.
huyo tajiri, alikuwa na mateso makali huko kuzimu, akainua macho yake, akamwona abrahamu kwa mbali na lazaro karibu naye.
dans le séjour des morts, il leva les yeux; et, tandis qu`il était en proie aux tourments, il vit de loin abraham, et lazare dans son sein.
bahari ikawatoa nje wafu waliokuwa ndani yake; kifo na kuzimu vikawatoa nje wafu waliokuwa ndani yao. kila mmoja akahukumiwa kufuatana na matendo yake.
la mer rendit les morts qui étaient en elle, la mort et le séjour des morts rendirent les morts qui étaient en eux; et chacun fut jugé selon ses oeuvres.
daudi aliona kabla mambo yatakayofanywa na mungu na hivyo akasema juu ya ufufuo wa kristo wakati aliposema: hakuachwa kuzimu, mwili wake haukuoza.
c`est la résurrection du christ qu`il a prévue et annoncée, en disant qu`il ne serait pas abandonné dans le séjour des morts et que sa chair ne verrait pas la corruption.
tena wanaye mfalme anayewatawala, naye ndiye malaika wa kuzimu; jina lake kwa kiebrania ni abadoni, na kwa kigiriki ni apolioni, yaani mwangamizi.
elles avaient sur elles comme roi l`ange de l`abîme, nommé en hébreu abaddon, et en grec apollyon.
malaika akalitupa kuzimu, akaufunga mlango wa kuingilia huko na kuutia mhuri ili lisiweze tena kuyapotosha mataifa mpaka hapo miaka elfu moja itakapotimia. lakini baada ya miaka hiyo ni lazima lifunguliwe tena, lakini kwa muda mfupi tu.
il le jeta dans l`abîme, ferma et scella l`entrée au-dessus de lui, afin qu`il ne séduisît plus les nations, jusqu`à ce que les mille ans fussent accomplis. après cela, il faut qu`il soit délié pour un peu de temps.
na wewe kafarnaumu, je, utajikweza mpaka mbinguni? utaporomoshwa mpaka kuzimu! maana, kama miujiza iliyofanyika kwako ingalifanyika kule sodoma, mji huo ungalikuwako mpaka hivi leo.
et toi, capernaüm, seras-tu élevée jusqu`au ciel? non. tu seras abaissée jusqu`au séjour des morts; car, si les miracles qui ont été faits au milieu de toi avaient été faits dans sodome, elle subsisterait encore aujourd`hui.
kwa hiyo, karibu katika shimo la kuzimu la tamaduni mbalimbali kuishi pamoja, utofauti wa makabila na uhamiaji ambapo wahamiaji (katika shauri hili inawezekana kabisa wakawa waislamu) wanawashambulia wahamiaji wengine na waaustralia ndio wanaolaumiwa.
alors, bienvenue dans l'enfer d'immigration de division multiculturelle et de diversité ethnique où des immigrants (dans cette affaire probablement musulmans) attaquent d'autres immigrants et ce sont les australiens qui sont accusés. dave