Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
wote wakajazwa roho mtakatifu, wakaanza kusema lugha mbalimbali kadiri roho alivyowawezesha.
und sie wurden alle voll des heiligen geistes und fingen an, zu predigen mit anderen zungen, nach dem der geist ihnen gab auszusprechen.
mwenye wasaa atoe kadiri ya wasaa wake, na mwenye dhiki atoe katika alicho mpa mwenyezi mungu.
der vermögende soll seinem vermögen nach unterhalt gewähren! und wem wenig rizq gewährt wurde, der soll unterhalt geben von dem, was allah ihm gewährte.
yesu akawaamuru wasimwambie mtu juu ya jambo hilo. lakini kadiri alivyowakataza, ndivyo walivyozidi kutangaza habari hiyo.
und er verbot ihnen, sie sollten's niemand sagen. je mehr er aber verbot, je mehr sie es ausbreiteten.
namwomba mungu, kadiri ya utajiri wa utukufu wake, awajalieni kwa uwezo wa roho wake, nguvu ya kuwa imara ndani yenu,
daß er euch kraft gebe nach dem reichtum seiner herrlichkeit, stark zu werden durch seinen geist an dem inwendigen menschen,
maana, mwana wa mtu atakuja katika utukufu wa baba yake pamoja na malaika wake, na hapo ndipo atakapomlipa kila mtu kadiri ya matendo yake.
denn es wird geschehen, daß des menschen sohn komme in der herrlichkeit seines vaters mit seinen engeln; und alsdann wird er einem jeglichen vergelten nach seinen werken.
watoto wa syria ni wahanga wasio na hatia wa vita hii na kutoa msisitizo kwa wakati mgumu wanaoupitia na ujaribu kusaidia kuwaepusha na mateso wanayoyapa kwa kadiri ya utakavyoweza.
syriens kinder sind die unschuldigen opfer dieses krieges.
kadiri tafsiri zinavyojitokeza (tazama hapo juu), tafadhali washirikishe wengine pia viungo kupitia mitandao ya kijamii na marafiki!
bitte geben sie auch die links zu den in den kommenden tagen veröffentlichten Übersetzungen (siehe oben) an ihre sozialen netze und bekannten weiter!
na anaye fanya mema, akiwa mwanamume au mwanamke, naye ni muumini - basi hao wataingia peponi wala hawatadhulumiwa hata kadiri ya tundu ya kokwa ya tende.
diejenigen aber, die handeln, wie es recht ist sei es mann oder frau und dabei gläubig sind, werden ins paradies eingehen und nicht im geringsten unrecht erleiden.