Trying to learn how to translate from the human translation examples.
From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
siku sita kabla ya sikukuu ya pasaka, yesu alifika bethania alikoishi lazaro ambaye yesu alikuwa amemfufua kutoka wafu.
sechs tage vor ostern kam jesus gen bethanien, da lazarus war, der verstorbene, welchen jesus auferweckt hatte von den toten.
huko walimwandalia chakula cha jioni, naye martha akawa anawatumikia. lazaro alikuwa mmoja wa wale waliokuwa mezani pamoja na yesu.
daselbst machten sie ihm ein abendmahl, und martha diente; lazarus aber war deren einer, die mit ihm zu tische saßen.
huyo tajiri, alikuwa na mateso makali huko kuzimu, akainua macho yake, akamwona abrahamu kwa mbali na lazaro karibu naye.
als er nun in der hölle und in der qual war, hob er seine augen auf und sah abraham von ferne und lazarus in seinem schoß.
yesu alipomaliza kusema maneno hayo, akawaambia, "rafiki yetu lazaro amelala, lakini mimi nitakwenda kumwamsha."
solches sagte er, und darnach spricht er zu ihnen: lazarus, unser freund, schläft; aber ich gehe hin, daß ich ihn auferwecke.
wayahudi wengi walisikia kwamba yesu alikuwa bethania. basi, wakafika huko si tu kwa ajili ya kumwona yesu, ila pia wapate kumwona lazaro ambaye yesu alimfufua kutoka wafu.
da erfuhr viel volks der juden, daß er daselbst war; und sie kamen nicht um jesu willen allein, sondern daß sie auch lazarus sähen, welchen er von den toten auferweckt hatte.
mtu mmoja aitwaye lazaro, mwenyeji wa bethania, alikuwa mgonjwa. (kijiji cha bethania kilikuwa mahali walipokaa maria na martha, dada yake.
es lag aber einer krank mit namen lazarus, von bethanien, in dem flecken marias und ihrer schwester martha.
lakini abrahamu akamjibu: kumbuka mwanangu, kwamba ulipokea mema yako katika maisha, naye lazaro akapokea mabaya. sasa lakini, yeye anatulizwa, nawe unateswa.
abraham aber sprach: gedenke, sohn, daß du dein gutes empfangen hast in deinem leben, und lazarus dagegen hat böses empfangen; nun aber wird er getröstet, und du wirst gepeinigt.
basi, akaita kwa sauti: baba abrahamu, nionee huruma; umtume lazaro angalau achovye ncha ya kidole chake katika maji, auburudishe ulimi wangu, maana ninateseka mno katika moto huu.
und er rief und sprach: vater abraham, erbarme dich mein und sende lazarus, daß er die spitze seines fingers ins wasser tauche und kühle meine zunge; denn ich leide pein in dieser flamme.