From professional translators, enterprises, web pages and freely available translation repositories.
sisi tunajua kwamba mungu alisema na mose, lakini mtu huyu hatujui ametoka wapi!"
אנחנו יודעים כי אל משה דבר האלהים ואת זה לא ידענו מאין הוא׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
felisi alipoisoma hiyo barua aliwauliza paulo ametoka mkoa gani. alipofahamishwa kwamba alikuwa ametoka mkoa wa kilikia,
ויהי כקרא ההגמון את האגרת וישאל מאי זה מדינה הוא ויהי כשמעו כי הוא מקיליקיא ויאמר׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
yesu alijua kwamba baba alikuwa amemkabidhi kila kitu, na kwamba alikuwa ametoka kwa mungu na anarudi kwa mungu.
וידע ישוע כי נתן אביו את הכל בידו וכי מאלהים בא ואל אלהים ישוב׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
basi, huyo ofisa aliposikia kuwa yesu alikuwa ametoka yudea na kufika galilaya, alimwendea akamwomba aende kumponya mtoto wake aliyekuwa mgonjwa mahututi.
ויהי כשמעו כי בא ישוע מיהודה לארץ הגליל וילך אליו וישאל מאתו לרדת ולרפא את בנו כי קרב למות׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
naye akawajibu, "hili ni jambo la kushangaza! ninyi hamjui ametoka wapi, lakini amenifumbua macho yangu!
ויען האיש ויאמר אליהם זאת היא הפלא ופלא כי לא ידעתם מאין הוא והוא פקח את עיני׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality:
Warning: Contains invisible HTML formatting
wao ni wajukuu wa mababu, naye kristo, kadiri ya ubinadamu wake, ametoka katika ukoo wao. mungu atawalaye juu ya yote, na atukuzwe milele! amina.
ולהם האבות ואשר מהם יצא המשיח לפי בשרו אשר הוא אל על הכל מברך לעולמים אמן׃
Last Update: 2012-05-05
Usage Frequency: 1
Quality: